Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,983
- 5,801
Yaani kwa kauli yake hiyo, Sitta anaamini kabisa kuwa ni candidate wa Urais!
Vv
Vv
Kwani nani kakwambia iran hana ujuzi?.
kama kigezo ni kuzungukwa na nchi adui hata iran pia imezungukwa na nchi adui.
baadhi ya nchi umetaja kama adui wa israel wakati si kweli,egpty wana mkataba wa amani,jordan wana mkataba wa amani,
lebanoni tayari waliwatoa israel nchini mwao kwahiyo hawana uhasama ,ni syria peke yake ndo inafit kuitwa jirani adui na israel lakini wana ceasefire na kuna askari wa UN peacekeeper mpakani,sasa sijui nani kaufyata.
ujue tatizo lako wewe ni ushabiki uliopita kiwango na usiojali hali halisi ni ipi.
kama israel wanapigana na gaza hadi silaha wanaishiwa ndani ya wiki tatu ,sijui itakuaje wakipambana na nchi
Mi sielewi nchi inakwenda wapi yaani ni Mzee Warioba peke yake ndiyo kapigwa ban ya kujadili mambo ya nchi yyake! Hivi kwanini kama anachoongea ni pumba msimpuuze . ..wapi... mnajua kuliko sisi kwamba Mzee ana hoja na msipokuwa waangalifu ataliporomosha ghorofa la michuzi. Historian itawahukumu.Kilichomkuta jana Warioba ni msiba wa kujitakia
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.
Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.
Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.
Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.
Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.
Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.
Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.
Amesema hawezi kujibu hilo swali kama vile Sitti Mtemvu Miss CCM alivyojibu. Kumbe wote wanafanana.
Inapotokea mtu mwenye mawazo tofauti kuhusu katiba inayopendekezwa akatoa maoni yake, waunga mkono viongozi na vibaraka wao wanakuwa wa kwanza kusema eti wawaachie wananchi waamue wenyewe. Lakini pale wao wakiongozwa na mwenyekiti wao 'propesa' JK wanaposema katiba inayopendekezwa ni nzuri muipigie kura ya ndiyo hawaoni kama wanawalazimisha wananchi kufanya yale wanayoyataka wao. Kweli nyani haoni 'tundule'
Kauli ya Sitta inaashiria kuwa pale ambapo unaposikia mtu anaongea vitu usivyopenda kusikia umrukie umpige chupa, ngumi mateke au chochote unachoweza. Hii ni kauli ya kiongozi mkubwa kabisa katika nchi hii. Kwa aina hii ya viongozi, tuache kulalamika kuwa ni maskini maana hata dunia ingetushangaa kama tusingekuwa maskini kama watu wenyewe ndio hawa. Na kwa kauli kama hizi, nahisi wameona utajiri wa nchi wamechukua wamemaliza, sasa wanataka kuwaondolea watanzania hata amani (japo ya kimagumashi) waliyokuwa wamebaki wakiitumaini.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.
Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.
Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.
Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.
Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.
Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.
Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.
Mheshimiwa Sitta yuko sahihi kabisa nami namuunga mkono kwa asilimia mia...Warioba anatakiwa awaachie watanzania wataamua wenyewe lakini huku kuhangaika kwake na kujidai yeye ndiye aliyekaa na Mwalimu kuliko watanzania wote kutamuumbua siku si nyingi
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.
Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.
Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.
Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.
Amekaa mezani tangu miaka ya sitini. Kama hajashiba mpaka sasa inaelekea atazikwa na njaa.hakuna laana kubwa kama kuwa na NJAA
KINACHOMSUMBUA SITTA NI NJAA NA KINACHOMUUMIZA ZAIDI NI UJIO WA LOWASSA MADARAKANI 2015
SIO TU ANAWAZA ATAKUWA WAPI BALI MAISHA YAKE YATAKUWA WAPI .......
SHAME SITTA
Mheshimiwa Sitta yuko sahihi kabisa nami namuunga mkono kwa asilimia mia...Warioba anatakiwa awaachie watanzania wataamua wenyewe lakini huku kuhangaika kwake na kujidai yeye ndiye aliyekaa na Mwalimu kuliko watanzania wote kutamuumbua siku si nyingi