Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe

Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe

namii naunga hoja ya mzee sita hivi nawauliza anachotaka nini mzee warioba au ndio tukubali alivyosema tutakutana mitaani ndio ameanza kupiga kampeni? aelewe kipindi chake kimepita
Wewe jamaa nilikuheshimu sana kumbe hovyooooooooooooo!!!
 
Babu sitta!!!!! Mzee mwenzake kufanyiwa ivyo anasherekea!! Soon hao Ccm aliwafanya miungu watamfanya chambo.
 
nasema hivi,hii story ni ya kutunga,usome vizuri huo utangulizi utagundua haufanani na 6.
 
Mzee warioba ni mzalendo

utulivu wa aina gani labda. Hebu fikiri kwamba nyumba yako inaungua na wewe una uwezo wa kuiokoa, je utaicha iangamie? Mzee Warioba ni mtaalamu wa sheria na katiba na ameisoma katiba pendekezi iliyojaa ulaghai na ulinzi kwa viongozi wezi. Kitendo cha kujitokeza ili kuuelimisha umma kuikataa katiba hiyo ni cha kishujaa na uzalendo uliotukuka. Anastahili kuungwa mkono na kupata support ya kila aina ili tuweze kuipata katiba nzuri yenye balance pande zote na siyo kuiunga hii ya ccm.
Kama uko makini utakubaliana nami kuwa hakuna kulala Warioba hadi kieleweke!. Wanaokung'ong'a watakaa na aibu yao kwani hawalali sasa. Nimemwona mkulu akiwalaghai wagogo na kigugumizi kingi kuonyesha kuwa anaongopa na kuuficha ukweli.
 
Hawa wanawajua vema watu wanaowaongoza ndio maana wanasema wanachotaka.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.

Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.

Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.

Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.

Watu wakitumwa kufanya uovu hadharani halafu mzee sita unataka kutuaminisha kwamba ni alama za nyakati? kwa hiyo tunapinga rasimu ya kibabe uloileta ni alama za nyakati sio? Basi kama ndivyo, alama za nyakati ni kwamba wananchi tumewachoka na chama chenu cha vitisho,vurugu, utesaji kwa
wananchi!!!
 
namii naunga hoja ya mzee sita hivi nawauliza anachotaka nini mzee warioba au ndio tukubali alivyosema tutakutana mitaani ndio ameanza kupiga kampeni? aelewe kipindi chake kimepita



Mzee warioba alikuwa anafafanuwa vizuri kabisa katiba ata mimi nisiyekuwa najuwa kilichoandika ktk katiba nilianza kutambuwa uwozo wa hiyo katiba pendekezwa. Sasa kumbe hata UKAWA wana haki kutoka bungeni. Huyo Sita si mzalendo anapenda uongozi tu kazi kubebwa bebwa

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Mzee warioba alikuwa anafafanuwa vizuri kabisa katiba ata mimi nisiyekuwa najuwa kilichoandika ktk katiba nilianza kutambuwa uwozo wa hiyo katiba pendekezwa. Sasa kumbe hata UKAWA wana haki kutoka bungeni. Huyo Sita si mzalendo anapenda uongozi tu kazi kubebwa bebwa

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

umenena kweli tupu. Huyu six kazoea kubebwa kwa kutumia udhaifu wa watu wengine anaoutumia kama fimbo ya kuwaadhibu na anacholipwa kwa kuulinda uovu ni kupewa vijinafasi vya kumpooza.
Jina lake linaakisi zile namba za shetani ndo maana anafanya mambo ya kishetani ili kuwafurahisha mashetani wenzie. Katiba aliyoiunda ni ya ccm na siyo ya wananchi. Hili litamgharimu muda si mrefu.
 
Wewe jamaa nilikuheshimu sana kumbe hovyooooooooooooo!!!

Nakwambia tangu waanze kuzungumza kwa njia makonda aka mkun*u hatuna njia tena bali kusubili pigo moja tu pigo lenye nguvu kutoka kwa Muumba atakalowatandika nalo mccm wote.

La sivyo unaweza kulijibu nini hilo jinamizi la nchi hii samwel six? Kwa huo mbwabwajo alioutoa kwenye vyombo vya habari. Jitu lenyewe linashindwa kuelewa halipendwi na hao aliowahi kuwatujumu mafisadi. Hata ajikoshe vipi bado anawo tu. Chezea mwana wa bwagamoyo na robo masai.
 
yani watu wanatoka mapovu kwa stori ya uzushi..hata hivyo sio mbaya ni namna ya kujifariji na kuondoa stress
 
Back
Top Bottom