mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,092
Wewe jamaa nilikuheshimu sana kumbe hovyooooooooooooo!!!namii naunga hoja ya mzee sita hivi nawauliza anachotaka nini mzee warioba au ndio tukubali alivyosema tutakutana mitaani ndio ameanza kupiga kampeni? aelewe kipindi chake kimepita