Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Sita ni mmoja kati ya wapumbavu niliowahi kuwasikia katika nchi hii!
Sitta alishaambiwa mapema aje ulingoni akimaliza kuchakachua, mwenzie Warioba kitu ya Musoma Originali inamsubiria kitaa kwa lolote, na hana utani na hilo kwani anafahamu kuwa suala la katiba si la kichama bali ni la kitaifa