Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
sasa anazungumzia richmond na dowans anaichana mbaya
Duh! Very short but clear!ni maamuz magumu. itv
nimeona kaichanachana dowans kweli, bado huyu mtu si wakumuamini sana, unafiki umemjaa, urais 2015 unatafutwa kwa nguvu.
Najua ukisikia kuhusu Richmond au Dowans unachanganyikia..na bado.Huyu Sitta, mnafaki sana aeleweki katika suala la Dowans!