zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,618
hakuna cha unafiki hapo, huo ndiyo ukweli wenyewe; yeyote mwenye ufahamu na sheria bila shaka amemuelewa vizuri.
hujanielewa mkuu.
hakuna cha unafiki hapo, huo ndiyo ukweli wenyewe; yeyote mwenye ufahamu na sheria bila shaka amemuelewa vizuri.
ametolea mfano kama mwizi kaiba simu na watu wameanza kumkimbiza kwa bahati nzuri hakushikwa kaenda kuiuza hiyo simu kwa mtu mwingine na yule mwizi akaiuza hiyo simu kwa sh. 100,000 na wewe ukamlipa kwanza sh. 60,000
akaulize usipomlipe hiyo sh.40,000 atakuwa na haki ya kwenda makamani? hiyo ndivyo ilivyokuwa hata kwa dowans
Nimeandika mara nyingi hapa JF,CCM hakuna mtu aliyesafi,wanachofanya ni kuzudiana tu...uwezi fananisha EL,RA na Sitta..yeye ni fisadi njaa,alishindwa kushika network anawaonea wivu wenzie...
Wape magwanda wenzeko Update za Dowans, ulizowaambia wanasubiri dakika 45 zinaisha
Mkuu ninachokufagilia ukishaona umeabika unaingia mitini kimya kimya...
Mkuu, mbona unatoka nje ya mada? Mada ni Dowans ebu pitia heading ya hii thread
Mkuu ninachokufagilia ukishaona umeabika unaingia mitini kimya kimya...
Acha kupotosha mada ni masuala ya Afrika Mashariki sio Dowans.
miafrika bana
Yaani Pro-CDM JF kazi ni kukalili tu kila wakimuona Sitta, wenyewe wanajua ni Dowans tu.
Miafrika bana
Wape magwanda wenzeko Update za Dowans, ulizowaambia wanasubiri dakika 45 zinaisha
Dakika 45 zinaisha..
Vipi kuhusu Dowans, kasemaje?
Mkuu, mbona unatoka nje ya mada? Mada ni Dowans ebu pitia heading ya hii thread
Tupe Update kasemaje kuhusu Dowans?
Acha uwongo mbona unamlisha maneno Sitta?
Sitta ni msanii sana aelewiki ni mnafiki..sasa anamlalamikia nini wakati nae ni sehemu ya serikali.
Nimeabika na nini sasa Magwanda bana, Sitta anacheza na akili za mambumbu.
kama anaona kuna ufisadi kwa nini bado waziri? Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!..
Sitta hafai kuamini, ni mnafiki sana.
Acha kupotosha mada ni masuala ya Afrika Mashariki sio Dowans.
miafrika bana
Nimeabika na nini sasa Magwanda bana, Sitta anacheza na akili za mambumbumbu..
kama anaona kuna ufisadi kwa nini bado waziri? Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!..
Kweli mpuuzi hana haya ! Post zote hizo na hata kuomba msamaha hauko tayari ! Kaazi kweli kweli !