Hivi huyu babu bado akili zake zinamtuma kwamba atafulu huu mtihani aliojipa.
Sawa yetu macho
6 + POROJO= UNAFIKI
1.alijenga ofisi ya spika urambo wakati anajua hawezi kuwa spika milelewatu wenye hoja nyepesi na kufuata mkumbo ndo utawasikia sitta mnafiki!umepanda daladala umesikia neno basi unalibeba na kulifanya la kwako!mnakosea!ukija na mtazamo wako twambia unafiki wa sitta ni upi?????????????kusema ukweli ndo unafiki?vita ya ufisadi ni ya sitta>?miafrika ndivyo ilivyo!marytina njoo na proof za huo upupu wako!unafiki wa sitta ni upi??????????????
Ameumia sana roho huyu Sitta kushindwa na Mwanamke. Mfumo Dume.
Kwa taratibu zinazokubalika au kwa mizengwe ya kunguana kisanii?
Ameumia sana roho huyu Sitta kushindwa na Mwanamke. Mfumo Dume.
Issue si mfumo dume au la ila ni sera tu za kumtoa. Maana katika hali ya kawaida kabisa ni wazi kwamba Sitta anauwezo kuliko Makinda. Na hii haitokani na kwamba Sitta ni mwanaume au la. Hatuhitaji Profesa kuliiona hili. Bunge la sasa analosimamia Makinda si sawa na bunge alilokuwa anaendesha Sitta....!!! Kwenye ukweli tusiweke suala la mifumo dume au jike.
Siasa ni mchezo mchafu, usione kakaa anayasema yote hayo ukafikiri hayumo, yumo alizidiwa tu.
|
| Mungai aibuka, aionya CCM na Hellen Ngoromera Tanzania Daima |
- Alazimika kubadili namba za simu kukwepa vitisho
- Viongozi CCM wana roho ya kuku, wepesi kubadili mawazo kwa ajili ya pesa
- Amekubali nguvu ya Chadema ilivyoonyeshwa Igunga na kusifia itikadi zake ila hayuko tayari kuhama CCM
Source: Majira