m.alphonce
Member
- Sep 15, 2010
- 20
- 5
Tutofautiane kwa hoja si mapanga.. Hii ndio demokrasia tunayotaka.. Tukianza kutosikilizana kisa itikadi zetu zimetofautiana tutakuwa tunajichimbia kaburi letu wenyewe.
Tucheke na tunywe juice pamoja kudumisha Utanzania wetu.. But Hoja ya msingi ijadiliwe kwa maslahi ya taifa letu
Think Big
Tucheke na tunywe juice pamoja kudumisha Utanzania wetu.. But Hoja ya msingi ijadiliwe kwa maslahi ya taifa letu
Think Big