Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Duh !! Kweli Arusha wameamua..
Mathayo 18:18
Amin,nawaambieni,yoyote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yoyote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.
Kwa hiyo Nape Nauye aipofungiwa na Yusuph Makamba wakati ule na hata mbinguni alifungiwa?