UmezinguaNlipomaliza form four naposubili matokeo mzee aliniambia niende nkashinde kwenye gari (condacta)
Siku moja wakati tunaingia stend mjini ..mzee alikua anatafuta parking
Palikua na mabasi mengi pembeni...
Akawa anaibana gari kwakuibia ibia ili apate position apaki gari yake,
Wakati anaendelea kuweka gari sawa,pemben ya ile basi alikuepo mpiga debe mmoja anakatisha ticket ya basi mojawapo...yule jamaa amekaa ki huni huni sana+mangeu na manywere machafu kichwani,
Inaonekana alikeleka kuona mzee anapita pembeni yake
Akahofia kugongwa na gari,au ilikua inambugudh kuandika ticket zake...
Alianza kumtukana matusi mazito mno baba yangumatusi mazito
Siwezi kuyaandika hapa ila ni mazito.nliona aibu
Moyo uliniuma sana sana sana sanaa
,nlirudi seat ya nyuma ya gari machozi yalinitoka sana
Mzee hakuwahi kujibu kitu
Alishuka kwenye gari akaondoka kwenda kunywa chai
Wazee wetu wanamazito mioyoni mwao ,wanapambana sana sana
Hakuna siku ntakupuuza mzee wangu.
Siku moja ntakununulia gari...utawapa watu waendeshe,hautapokea matusi tena,utapokea pesa kutoka kwao
Brother unaekatisha ticket buss za....
Nmekusave
Kuna siku utaniomba msamaa
Iwe dunia na au ahera ntakutafuta
Kaka wa General Galadudu wa JFBaba yako ni Jenerali Ole Sabaya?
Safi dingi yuko vizuri.
Yote ni katika kutaka kukutengeneza wewe.Bora nikuvunje kiuno ukae kitandan kuliko kuja kuwa mpumbavu wa hopelesa na kuishia kuwa shoga kama wengi wao wa vijana wa leo.Af mnaishia kumlaumu Mungu kuwa ya mungu mengiWanaoua au kujeruhi watoto siyo kwamba huwa wanapenda ndiyo maana huwa wanajutia
pole sana mama, ule mlio ni gumzoLol. Mimi mtu alishoot upande niliokaa ikapiga chupa yangu ya Heineken. Nilipanic nikapata shock yani sitasahau
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
asante sana masterPamoja na kwamba alikunyooshea silaha lakini kamwe asingeweza kukupiga.Huo ni upendo wa Baba!.Hongera kwa kujifunza na kutambua funzo lake!
😆😆 wewe na Sabaya ni ndugu!Yote ni katika kutaka kukutengeneza wewe.Bora nikuvunje kiuno ukae kitandan kuliko kuja kuwa mpumbavu wa hopelesa na kuishia kuwa shoga kama wengi wao wa vijana wa leo.Af mnaishia kumlaumu Mungu kuwa ya mungu mengi
Umezingua
Ungeshuka kumpelekea kipigo uyo yaani unatukaniwa mzee wako unaenda kulia
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
Yaaani. Sema aliefanya baadae tukawaga washikaji na nikamwambia tukio alilofanya alikua ananimaliza mimi akaomba msamaha yakaishapole sana mama, ule mlio ni gumzo
Nimecheka Sana. Nimekumbuka siku niliyotandikwa haswaa kisa goroli.Mi mwenyewe kmmke sipendi wanangu wacheze michezo ya kisngesnge kama sijui kuingiza vigoroli kwenye vishimo,anajua mziki wng nikimkuta anacheza michezo isiyokuza akili yake
Hiyo michezo inaharibu sana akili za watoto,siipendi kabisa,nikimkuta anacheza mpira fresh,sio michezo ya kijingajingaNimecheka Sana. Nimekumbuka siku niliyotandikwa haswaa kisa goroli.
Mkwara umefanya kazi!Ilikuwa hivi.
Muda mrefu sana yapata miaka 10 hiyo siku nilikuwa nacheza pool table mtaani, huo mchezo unaitwa "shamkware." Ni kamari na una majina mengi sana huu mchezo pia mnaweza cheza watu wawili au zaidi.
Katika kucheza na kupiga mahesabu makali mwisho wa game mshindi nlikuwa mimi. kwenda kuchukua pesa nlizoshinda ghafla muona baba ananitazama kwa ukali kinoma
Ikanibidi niiache ile pesa niondoke kinyonge nikijua tayari umeshakuwa msala!
Kurudi nyumbani dakika tano nyingi baba naye huyo! nilipigwa kila aina ya kipigo, ngumi, makofi, mateke na mkanda mwisho wa siku akachukua bunduki aina ya gobole na kulikoki kuelekeza kwangu...! akanipiga mkwara mzito sana na kusema "nitakuua nikikuona unacheza michezo ya kipuuzi na sioni faida ya kuwa na kijana mjinga ndani ya nyumba yangu."
niliogopa sana na tangu hiyo siku mpaka kesho pool table sina mzuka nao kabisa.
Baba amenipa vitu bora maishani, muda wake, kujali kwake na upendo wake. Nafurahi sana kuwa nae katika maisha yangu.
He is my superman.
Kuna kipindi fulani cha nyuma nilitoka out na watoto wangu watatu wenye umri wa kujitambua kabisa kwan binti mkubwa alikuwa form 1,boys std lV na ll. Huko tulikutakana na trafic ambao tayari walikuwa wamesimamisha magari mengine,mie nikipita zangu,mara kama KM 1 Naona gari markll inanizonga kwa nyuma na mahorn mengi,mie nikasimama,kuchek ni wale traffic wako wawili,wakaja wananifokea eti kwanini nimesimamishwa na sikusimama,nikawajibu mimi hamkunisimamisha,mara ghafla nina kibao cha uso,mara cha pili,nikasikia watoto wanaanza kupiga kelele za kulia baba,babaaa!!!Nlipomaliza form four naposubili matokeo mzee aliniambia niende nkashinde kwenye gari (condacta)
Siku moja wakati tunaingia stend mjini ..mzee alikua anatafuta parking
Palikua na mabasi mengi pembeni...
Akawa anaibana gari kwakuibia ibia ili apate position apaki gari yake,
Wakati anaendelea kuweka gari sawa,pemben ya ile basi alikuepo mpiga debe mmoja anakatisha ticket ya basi mojawapo...yule jamaa amekaa ki huni huni sana+mangeu na manywere machafu kichwani,
Inaonekana alikeleka kuona mzee anapita pembeni yake
Akahofia kugongwa na gari,au ilikua inambugudh kuandika ticket zake...
Alianza kumtukana matusi mazito mno baba yangumatusi mazito
Siwezi kuyaandika hapa ila ni mazito.nliona aibu
Moyo uliniuma sana sana sana sanaa
,nlirudi seat ya nyuma ya gari machozi yalinitoka sana
Mzee hakuwahi kujibu kitu
Alishuka kwenye gari akaondoka kwenda kunywa chai
Wazee wetu wanamazito mioyoni mwao ,wanapambana sana sana
Hakuna siku ntakupuuza mzee wangu.
Siku moja ntakununulia gari...utawapa watu waendeshe,hautapokea matusi tena,utapokea pesa kutoka kwao
Brother unaekatisha ticket buss za....
Nmekusave
Kuna siku utaniomba msamaa
Iwe dunia na au ahera ntakutafuta