Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,587
- 4,611
- Thread starter
- #41
inabidi niwaambie askari magereza wakupokonye simu hapo gerezani 😁😁Nimwmpenda, lkn angekuonja hata TAKO kwa pembeni ubaki na alama ya huo ujinga
inabidi niwaambie askari magereza wakupokonye simu hapo gerezani 😁😁Nimwmpenda, lkn angekuonja hata TAKO kwa pembeni ubaki na alama ya huo ujinga
upo sahihi kabisa, hata kesho nikiamua naweza mshtaki. lakini sitothubutu.Baba yako alifanya kosa la jinai alitakiwa awe jela kutumikia kifungo cha miaka 30.
Inawezekana anamilikishwa silaha huku ana matatizo ya akili, silaha huruhusiwi kuielekezea kiumbe chochote kile hata kama una uhakika wa 100% kuwa haina risasi
Mkuu sioni kama kuna kitu cha kulipiza hapo, na inabidi umuombe mzee wako akufundishe kuwa na strength aliyonayo. Kilichotokea ni kwamba mzee wako aliona huyo jamaa ni mjinga kama wajinga wengine na ndio maana hakuangaika nae. Unadhazani kwa umri aliofikisha amesha tukanwa na wangapi?Alianza kumtukana matusi mazito mno baba yangumatusi mazito
Siwezi kuyaandika hapa ila ni mazito.nliona aibu
Moyo uliniuma sana sana sana sanaa
,nlirudi seat ya nyuma ya gari machozi yalinitoka sana
Mzee hakuwahi kujibu kitu
Alishuka kwenye gari akaondoka kwenda kunywa chai
safi sana, enenda nao hivyohivyo.Madingi wa type hiyo watoto wao wametoka kimaisha.Na ungezingua angekurushia moto wa gobole kweli.
Siyo wazazi wa siku hizi wanawaogopa watoto wao,na wengine wanawapenda kipuuzi kupitiliza kunakopelekea watoto kuharibika kitabia.
Inapokuja issue ya tabia mbaya kwa wanangu hilo huwa silivumiliii hata kidogo,nachenjigi hata madogo wanalijua.
pole mkuu watu wa Dini wanasema samehe Saba mara sabiniNlipomaliza form four naposubili matokeo mzee aliniambia niende nkashinde kwenye gari (condacta)
Siku moja wakati tunaingia stend mjini ..mzee alikua anatafuta parking
Palikua na mabasi mengi pembeni...
Akawa anaibana gari kwakuibia ibia ili apate position apaki gari yake,
Wakati anaendelea kuweka gari sawa,pemben ya ile basi alikuepo mpiga debe mmoja anakatisha ticket ya basi mojawapo...yule jamaa amekaa ki huni huni sana+mangeu na manywere machafu kichwani,
Inaonekana alikeleka kuona mzee anapita pembeni yake
Akahofia kugongwa na gari,au ilikua inambugudh kuandika ticket zake...
Alianza kumtukana matusi mazito mno baba yangumatusi mazito
Siwezi kuyaandika hapa ila ni mazito.nliona aibu
Moyo uliniuma sana sana sana sanaa
,nlirudi seat ya nyuma ya gari machozi yalinitoka sana
Mzee hakuwahi kujibu kitu
Alishuka kwenye gari akaondoka kwenda kunywa chai
Wazee wetu wanamazito mioyoni mwao ,wanapambana sana sana
Hakuna siku ntakupuuza mzee wangu.
Siku moja ntakununulia gari...utawapa watu waendeshe,hautapokea matusi tena,utapokea pesa kutoka kwao
Brother unaekatisha ticket buss za....
Nmekusave
Kuna siku utaniomba msamaa
Iwe dunia na au ahera ntakutafuta
😃 🙌🏾 🙌🏾pole mkuu watu wa Dini wanasema samehe Saba mara sabini
Ila kwangu ukinifanyia ubaya mara Moja nakulipa mara Saba yake
Ila Mimi nakuapia hiyo jamaa ningemlia taiming ningemgonga vitasaaa mpaka maji aite mma pumbaf Hawa jamaa ukiwachekea Sana wanajitoaga ufahamu na kujiona malegend hivi
Narudia huyo boya angemtukana mshua wangu pale pale angechezea kipigo Cha mbwa Koko Tena kile Cha kustukiza anatolewa roki Kama general Mo Power!
baba yeyote lazima awe na falsafa ya familia yakeAya akina baba junia mmesikia bila shaka
Akina baba junia hawaelew mkuuubaba yeyote lazima awe na falsafa ya familia yake
nafikiri afya ya akili Tanzania sio ugonjwa, wengi tumeathirika na hatujitambuiAfya ya akili ni tatizo kubwa sana bongo maana wengi hukuzwa wakiamini matumizi ya nguvu ndio njia pekee ya kumshape mtoto. Mwisho wa siku tunapata watu ambao kimaisha wapo fresh ila kihisia na kiakili wameathirika sanaa na hawajui
unashangaa upo kwenye usafiri wa umma au popote pale, unakuta kitu kidogo tu, mtu anapanic na kuvimba kuwa "atapigana". Yaani mtu anategemea misuli zaidi maana ndo ina nguvu ila kihisia na kiakili mwepesi sana
ndiyo akina nani hao, sijakuelewa unamaanisha niniAkina baba junia hawaelew mkuuu
Kama amekupa besties in life basi usingemdhalilisha kwa kumuanika hapa alivyo short tempered.Ilikuwa hivi...
Muda mrefu sana yapata miaka 10 hiyo siku nilikuwa nacheza pool table mtaani, huo mchezo unaitwa "shamkware." Ni kamari na una majina mengi sana huu mchezo pia mnaweza cheza watu wawili au zaidi.
Katika kucheza na kupiga mahesabu makali mwisho wa game mshindi nlikuwa mimi. kwenda kuchukua pesa nlizoshinda ghafla muona baba ananitazama kwa ukali kinoma!
ikanibidi niiache ile pesa niondoke kinyonge nikijua tayari umeshakuwa msala!
Kurudi nyumbani dakika tano nyingi baba naye huyo! nilipigwa kila aina ya kipigo, ngumi, makofi, mateke na mkanda mwisho wa siku akachukua bunduki aina ya gobole na kulikoki kuelekeza kwangu...! akanipiga mkwara mzito sana na kusema "nitakuua nikikuona unacheza michezo ya kipuuzi na sioni faida ya kuwa na kijana mjinga ndani ya nyumba yangu."
niliogopa sana na tangu hiyo siku mpaka kesho pool table sina mzuka nao kabisa.
Baba amenipa vitu bora maishani, muda wake, kujali kwake na upendo wake. Nafurahi sana kuwa nae katika maisha yangu.
He is my superman.
pole sana kaka, wazee wetu ni watu bora sana. R I P mzee wetuHuyo mzee wako ndo kizazi cha wababa waliokuwa baba kwelikweli. Nakumbuka nikiwa primary std IV ilikuwa likizo so tukawa tunaenda shule kwa masomo ya ziada.
Basi siku moja tumemaliza kipindi tukaruhusiwa na mwalimu twende nyumbani ilikuwa jioni ya saa 10. Basi badala ya kwenda nyumbani nkaambatana na wenzangu kwenda ziwani kuvua samaki kwa ndoano. Kwangu ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza baada ya kushawishiwa Sana.
Bass bhana hilo zoezi liliendelea mpaka giza likaingia. Hadi nafika home ishatimia saa 3 usiku jamaa walikuwa wamenipa samaki sita aina ya tilapia. Da kufika home Hilo balaa lake sitakuja kusahau mzee alinipa kipigo kisichokuwa cha nchii hii. Maza anaingilia kunitetea naye akapitiwa na fimbo. Nikasusiwa hao samaki niwale mwenyewe. Usiku huo nililala mwili wote maumivu kesho yake wale samaki nimewapika nkala mmoja wengine nkawapa mbwa na paka. Nakumbuka ndo mara ya mwisho mzee alinipiga Ila no kipigo siwezi sahau. Mzee wangu alitutoka ni miaka 11 Sasa na
Mungu azidi kumrehemu kwani alikuwa hataki ujingaujinga. Tuwe tunawakumbuka wazee wetu.
Amina.pole sana kaka, wazee wetu ni watu bora sana. R I P mzee wetu