Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,432
Hapo kwenye bold hapo...thats nat true,am fuckin pretty and i know it ndomana am asking whats wrong with me
Wengi mkijijua wazuri basi mnakua na shida sana!!
Hapo kwenye bold hapo...thats nat true,am fuckin pretty and i know it ndomana am asking whats wrong with me
Sasa shosti uko antisocial na wa mitandao unawafukuza, unategemea ushushiwe toka mbinguni hadi chumbani kwako?
I doubt hata wanaokufata unawatimua kama wa mtandaoni
Hupendi wa kwenye mtandao ila unapenda ushauri wa kwenye mitandao kama hadi hapo hujui wapi unakosea basi IPO shida.....MTU mwenyewe unaonekana full nyodo.nisaidieni kivingine,ushauri,maoni,anything else. Sio kwamba nimeleta hii topic ili nipewe mwanaume NO,natak tu nijue wapi nakosea
Na inawezekana hili la kujiona mzuri likawa ni tatizo lakini ww hujui ni tatizo.......wanaume wanaangalia vitu vingi sio sura tuu.....sura ndani ya muda mchache itazeeka.i have a pretty face and i know,u don have to trust me,sema kingine
Sasa si uwaombe ushauri wa nje ya mtandao?siwezi date na wa mitandaoni
Maji ya bahari ndio yanapendwa na wanaume?
Asubiri afike miaka 30 aone ego itakavyoshuka from 100 to 5Wanawake wengi wanasumbuliwa na ego a.k.a kujiona keki, including alieleta huu uzi Clueless14 mahondaw
Kama huwezi date na wamitandaoni umefata nn sasa so uwaombe huo wa makalioni ulionao hapo mtaani kwenu wakutiiiiiiiiiii. Malizia..siwezi date na wa mitandaoni
kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Kama jf unatumia hadi vipambishi mzanio vingi hivyo mdogo wangu sasa huko kitaa unavitumiaje mdomonikichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Mbona umeomba ushauri mtandaon hawa nao watu na hapo unakosea kwan waweza kuta hapa jf ndo mmeo yupo wewe unasema hupend wa mitandaon bas na ushauri wa mitandaon usiukubali wala kuuomba mwisho naomba kapicha kako nithaminishe kishuzisipendagi watu wa mitandaoni
Punguza maringokichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Still your selectivesipendagi wa kwenye mitandao mimi
Sasa humu umefata nn?? Kwani usiende kuomba ushauri angaza maana kule mnaonana face to facesipendagi watu wa mitandaoni
In reality ww ni mbaya alafu hujijui km ni mbaya kwa kizazi hiki wanaume hatupitwi forward zinapiga mashuti ya mbali wewe unakuaga wapi??thats nat true,am fuckin pretty and i know it ndomana am asking whats wrong with me