get ready kwa simulizi/ riwaya yangu,u wont regretati nilikuwa selwctive zamani 2yrs nyuma
watu wamekuja "oooh staki wa mitandao"
je hii ni nini? ama ni 5select

prolly God is protecting me from peeps like u,umezalisha ukaacha au nilete file lako,peeps wanaoharibu potentials za byuriful gals
Post zako zinaonyesha we siyo mnyenyekevu. Una hasira kiburi na dharau. Kama upo hivyo usitegemee kuishi na jinsia ya kiume labda baba yako mzazi pekee ndiye atakuvumilia.sijaleta tangazo KUTAKA mwanaume rather ushauri,gat me???
sipendagi wa kwenye mitandao mimi
Maji ya bahari ndio yanapendwa na wanaume?Kama hadi waliooa hawakutongozi kaoge maji ya bahari na ubadilishe principles na vile unaongea.
Huyo ukimpata atakuwa wa mitandao pia ujuesipendagi watu wa mitandaoni
Unakosea pale unapo tongozwa afu unasema hutaki wa mtandaoninisaidieni kivingine,ushauri,maoni,anything else. Sio kwamba nimeleta hii topic ili nipewe mwanaume NO,natak tu nijue wapi nakosea