Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

Alikuwa ni chiz na angeweza hata kukudhalilisha.
 
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.

Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.

Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.

Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.

Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)

Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.

Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.

Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.

Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.

Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.

Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.

Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?

Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.

Mapepo yamekuja duniani kunyoosha miguu sasa
 
name kwakweli nimeshangaa sijui akiona hata ya kichaa huko nje inakuwa hivyo hivyo! of course ni kitu cha kustaajabisha lakini si cha kukufanya hadi uweweseke!
 
Baba V...sijuiii...ila let the people around me waseme...sipendi kujisifia....Hahahaha

Wewe baba V usicheze na tofali ni mtoto wa ukweli, unajua kuna wakati namuangaliagaaa afu najiuliza "hivi huyu nae aliumbwa kama wengine" hakuna mfanowe ila we jua ni mvuto!!!
 
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.

Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.

Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.

Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.

Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)

Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.

Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.

Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.

Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.

Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.

Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.

Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?

Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.

Kwa hiyo tatizo ni boro jeusi au?
 
Wajua wakati mwengine mtu unajiuliza, huyu kweli ni binadamu ama ni jini vile alivyo umbika!!!, Lakini mbele na hayo, kutoa AK47, mbele ya muhadhara!!!!!!!, LOOO huyo anaweza sababisha HATARI!!
 
Yaani wewe lazma dunia inakuonea. Nanihii ya kwake, aiweke wazi na still ujisikie vibaya wewe! Ama ulimtamani?

Ndio maana wanasema mkuki mtamu kwa nguruwe. Ngoja na wewe siku moja yakukute
 
Nice Story na tunashukuru sasa members wa MMU tunajua unalo gari japo hatujui la aina gani..dada tofali
 
DEMBA hivi kwani hawa watoto wakishua wanabahati mbaya sana na usafiri wetu?? Manaake kila anaepanda kwa mara ya kwanza lazima ajealalamike
 
tetetee kwani wanaume wana nini sio wote wenye msuli wa kupigana after all kupigana kwahitaji mbinu na wepesi. hata hivyo ukiamua kuingia vitani kila unachoweza kutumia kumshinda adui tumia iwe frying pan, pasi,kumkaba koo, teke kichwa, mtwangio, CD ni silaha nzuri ila inaweza kuua ukiweza kuitumia vizuri na kwa mbinu, kwa kufundishana adabu usitumie CD Kisu sindano uzi nk.tusiwaogope hawa watu kwanza siku hizi hawana nguvu wako legelege tu kama walivyokuwa wanatuona sisi zamani. chipsi soseji soda soda mikate imewafanya wewe mdebwedo tu. ukikomaa hata ngumi kwa ngumi uaweza mtoa out cha muhimu ni kujiamini tu. kibao cha uso nawe unampa ngumi ya pua.
Naomba match.
 
ndio mjue tunayokutana nayo kwenye daladala tunazopanda. Its not :A S new: for us wapanda daladala
 
King'asti....nilijisikia vibaya kwaninI aifanye wazi wazi mbele yangu..huo ni udhalilishaji...ile haikuwa sehemu sahihi...kuhusu kumtamani nooo mydia....lol.....

.... King'asti hakutakii mema, je angekumwagia #MajiYaUzima Usoni, si mambo ya kuchafuana burebure na #Najisi hiyo?!
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa ni chiz na angeweza hata kukudhalilisha.

Ndio maana nikaamua nikae kimya...nikanyanyuka kumpisha na sitI yake jibu la mjinga kukaa kimya so atakua aliisoma namba japo kimya kimya...
 

.... King'asti hakutakii mema, je angekumwagia #MajiYaUzima Usoni, si mambo ya kuchafuana burebure na #Najisi hiyo?!

Km ulikuwepo..niliwaza hivi akipizi...atamwaga wapi...dirishani? ? Au chini....au atanimwagia kwakweli kujiepusha nikanyanyuka ili asifike orgasm halafu me ndo niwe mhanga
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom