Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

ndio mjue tunayokutana nayo kwenye daladala tunazopanda. Its not :A S new: for us wapanda daladala

Bora na wewe una idea na hizi vitu...watu wanajifanya hawataki kuamini..ukweli ndo huu
 
Kujaribu kupigana na mwanaume/mume ni kama vile kuuwasha moto, anaweza akakuulia ndani. Wewe washauri tu wenzako wakati wewe una adabu tosha kwa mumeo. Mke mwema harudishi kibao kwa mumeo.

na nani alikwambia mume mwema anapaswa kumpiga mkewe?
 
DEMBA hivi kwani hawa watoto wakishua wanabahati mbaya sana na usafiri wetu?? Manaake kila anaepanda kwa mara ya kwanza lazima ajealalamike

Nikuambie kitu..daladala nimepanda saaanaa...mwanzo mwsho..usafiri wa kugombania...nimesoma primary pale posta.(....).A level nimesoma shule ya serikali ya wasichana pale upanga(....).chuo..(..).town hiyo hiyo...so kwa basI ni mzoefu na teknik zote nazijua....mpk kugombana na konda..gari nimenunua baada ya maisha yangu binafsi kusettle..... Daud omar
 
Last edited by a moderator:
Nice Story na tunashukuru sasa members wa MMU tunajua unalo gari japo hatujui la aina gani..dada tofali

Hayo ni yako.....una lingine?..kwani gari kitu cha ajabu.???..la mkopo..la kununua...screpa yote magari..akili yako imekutuma kuwa nimekuja kuringishia gari pole sana....SAWA.??
 
Ndio maana nilisema watu wengine humu ni Kama school boys, yaani mtu kuwa na gari unaona amekuja kulingisha nakupa ushauri wa bure fanya kazi kwa bidii jitume utaweza kununua lako! Halafu utaona kawaida tu, acheni ushamba.
 
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)

Pole sana!!
 
Nikuambie kitu..daladala nimepanda saaanaa...mwanzo mwsho..usafiri wa kugombania...nimesoma primary pale posta.(....).A level nimesoma shule ya serikali ya wasichana pale upanga(....).chuo..(..).town hiyo hiyo...so kwa basI ni mzoefu na teknik zote nazijua....mpk kugombana na konda..gari nimenunua baada ya maisha yangu binafsi kusettle..... Daud omar

Ahya nimekuelewa tofali, nilijua wew ni kama walee.. ila dah! Pole sana bhana
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.

Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.

Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.

Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.

Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)

Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.

Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.

Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.

Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.

Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.

Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.

Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?

Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.

Mpaka kwenye gari!?? Kweli mkuu MziziMkavu anayo kazi...
 
Last edited by a moderator:
sie tunaopanda daladala mbona mambo hayo tumeyazoea?
 
Aisee tofali utakuwa unavutia sana, hadi jamaa kaamua kufanya Master's yake kwenye daladala hata bila thesis....!..
Hahahahahah..................huyo jamaa bila shaka jamaa atakua M/kiti wa CHAPUTA( Chama cha Wapiga Puli Tanzania).
 
pole mumie inabidi uwe unatumia tu gari yako usije kuleta majanga
 
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.

Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.

Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.

Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.

Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)

Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.

Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.

Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.

Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.

Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.

Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.

Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?

Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.

Mara kuna watu walikuwa wamesimama mara wote walikuwa wamekaa! Hii story yako pitia utunge upya!
 
Hao ndo dunga dunga , sipati picha mngekuwa mmesimama wote tena mmebanana kama kwenye UDA.
 
niko tayari wakati wowote, sema tu iwe wapi na kisa kiwe ni nini ili nijiandae.
Kwani mabondia wanapigana kisa nini? Si pesa? Si hatuna beef so tukutane tuwekeane dau tuchapane ili tujue kama kweli wanaume wa siku izi lege lege kama unavyosema.
 
Pole sana Aunt Tofali, kweli we ni mvumilivu duu mwingine angepiga mayowe ya kufa mtu. Vp hukujihisi msisimko hata kidogo?
Kweli nimepanda uvumilivu wako, unaweza kuvumilia hata kwenye ndoa. Plz kama hujaolewa nipm lkn km tiyari hongera.
 
Kina dada huwa wanakutana sana na majanga. Kipindi nipo chuo ruti ya mwenge-chuo,jamaa aliwahi mpapasa dada wa watu tak*,yule dada alianzisha varangati la ajabu na abiria tukampa sapoti ya kutoa vitasa.
 
Kwani mabondia wanapigana kisa nini? Si pesa? Si hatuna beef so tukutane tuwekeane dau tuchapane ili tujue kama kweli wanaume wa siku izi lege lege kama unavyosema.

ohh kwa hiyo swala ni dau tu, mi sihitaji hata kuweka dau, ukinipiga pia nitakulipa nikikupiga sitahitaji unipe chochote kwa vile nina uhakika nitakupa kichapo tu.
mkuu lini sasa? na wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom