Kujaribu kupigana na mwanaume/mume ni kama vile kuuwasha moto, anaweza akakuulia ndani. Wewe washauri tu wenzako wakati wewe una adabu tosha kwa mumeo. Mke mwema harudishi kibao kwa mumeo.
DEMBA hivi kwani hawa watoto wakishua wanabahati mbaya sana na usafiri wetu?? Manaake kila anaepanda kwa mara ya kwanza lazima ajealalamike
Naomba match.
Nice Story na tunashukuru sasa members wa MMU tunajua unalo gari japo hatujui la aina gani..dada tofali
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)
Nikuambie kitu..daladala nimepanda saaanaa...mwanzo mwsho..usafiri wa kugombania...nimesoma primary pale posta.(....).A level nimesoma shule ya serikali ya wasichana pale upanga(....).chuo..(..).town hiyo hiyo...so kwa basI ni mzoefu na teknik zote nazijua....mpk kugombana na konda..gari nimenunua baada ya maisha yangu binafsi kusettle..... Daud omar
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.
Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.
Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.
Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.
Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)
Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.
Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.
Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.
Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.
Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.
Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.
Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?
Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.
Hahahahahah..................huyo jamaa bila shaka jamaa atakua M/kiti wa CHAPUTA( Chama cha Wapiga Puli Tanzania).Aisee tofali utakuwa unavutia sana, hadi jamaa kaamua kufanya Master's yake kwenye daladala hata bila thesis....!..
Aisee tofali utakuwa unavutia sana, hadi jamaa kaamua kufanya Master's yake kwenye daladala hata bila thesis....!..
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.
Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.
Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.
Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.
Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)
Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.
Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.
Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.
Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.
Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.
Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.
Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?
Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.
Bora na wewe una idea na hizi vitu...watu wanajifanya hawataki kuamini..ukweli ndo huu
Kwani mabondia wanapigana kisa nini? Si pesa? Si hatuna beef so tukutane tuwekeane dau tuchapane ili tujue kama kweli wanaume wa siku izi lege lege kama unavyosema.niko tayari wakati wowote, sema tu iwe wapi na kisa kiwe ni nini ili nijiandae.
Kwani mabondia wanapigana kisa nini? Si pesa? Si hatuna beef so tukutane tuwekeane dau tuchapane ili tujue kama kweli wanaume wa siku izi lege lege kama unavyosema.