mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Kujaribu kupigana na mwanaume/mume ni kama vile kuuwasha moto, anaweza akakuulia ndani. Wewe washauri tu wenzako wakati wewe una adabu tosha kwa mumeo. Mke mwema harudishi kibao kwa mumeo.
tetetee kwani wanaume wana nini sio wote wenye msuli wa kupigana after all kupigana kwahitaji mbinu na wepesi. hata hivyo ukiamua kuingia vitani kila unachoweza kutumia kumshinda adui tumia iwe frying pan, pasi,kumkaba koo, teke kichwa, mtwangio, CD ni silaha nzuri ila inaweza kuua ukiweza kuitumia vizuri na kwa mbinu, kwa kufundishana adabu usitumie CD Kisu sindano uzi nk.
tusiwaogope hawa watu kwanza siku hizi hawana nguvu wako legelege tu kama walivyokuwa wanatuona sisi zamani. chipsi soseji soda soda mikate imewafanya wewe mdebwedo tu. ukikomaa hata ngumi kwa ngumi uaweza mtoa out cha muhimu ni kujiamini tu. kibao cha uso nawe unampa ngumi ya pua.