Mkuu kuku akirushiwa sana punje za mahindi mwishowe anajisahau na kuishia kukamatwa
hadi mbavu zinaumaNipe Namba ya wife wako kama hutonitafutaWapo mkuu.. Mbona mimi wife wangu ana smartphone na ninamwamini tu.
Sasa ht kwa sms za kawaida atasema no?
Ukiona mwanamke anabadilika jua lazima chanzo kiwepo dawa yake nikukata huo mzizi unaomfanya abadilikeUtateseka sana mkuu, kwa nini usijiwekee msimamo tu wa kumuacha awe huru ila siku ukigundua tu pasipo shaka unarudisha mpira golini.
Upo sahihi lakini really cheating ambayo huwezi kudhibiti kirahisi ni hatari zaidi...Sasa ukimpa smartphone maana yake cheating zote 2 emotional & really cheating (according to u) zitaendelea.
Hayo ni mawazo ya kale na kikoloni. Utaweza kufanya hivyo iwapo mkweo ni mbumbumbu tena wa kijijini.kwa mfano mke wako ni msomi na anakazi nzuri anapewa simu kazini utamkataza?Upo sahihi lakini really cheating ambayo huwezi kudhibiti kirahisi ni hatari zaidi...
endelea kujidanganya hivyohivyo hata wa kwenye nyumba za ibada wanamegwa vizuri sana, tena unamuachia mwenyewe kiroho safi unajua anaenda kwenye mambo ya Mungu kumbe watu wanakula mzigo kiulainiLkn mazingira pia yanachangia sana. Mwanamke anayefanya kazi bar ni rahisi sana kumegwa kuliko yule anayefagia kanisani ama msikitini.
Kwa muktadha huo huo, anayetumia smartphone ni rahisi sana kumegwa kuliko asiyetumia
Ila wewe upo huku na unafanya upendecho, jiamini acha wogaSmartphone inawafanya wadada kuwa wendawazimu, kuenenda kama nyumbu (kuigana) na kufanya vitu vilivyo chini ya umri wao.
Mdada ana mume wake na amebahatika kuzalishwa watoto 0, 1, 2, 3, ...anaanzaje kutupia selfie kwenye social network? Lengo lakevnn hasa? Anauza sura yake kwa wakware walioko social networks. Si ndiyo hivyo?
Sasa dawa ni hii: nitanunua compyuta moja itakaa nyumbani ambayo ndiyo tutatumia kuchat na watu kwenye social networks mida ya jioni baada ya kazi. Tutatumia password inayofahamika na wote 2, iwe Facebook, WhatsApp, badoo, Instagram, LinkedIn, Snapchat, n.k kote huko tunaingia wote.
Imebainika kwamba siku hizi wake za watu hutongozwa hata mbele ya waume zao kupitia mitandao ya kijamii. Utaona tu mkeo anaguna kuashiria cheko fupi, ukiuliza atakuonyesha video fupi ya Kansiime, kumbe anakupoteza maboya. Kishatongozwa tayari.
Kuna wazembe wanaziruhusu smartphones hata kitandani, na kupelekea wake zao kutongozwa wakiwa kitandani. Kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini.
Mke wangu hatakuja kutumia smartphone, itakuwa mwendo wa Nokia tochi tu. Mitandao ya kijamii ni nyumbani tukiwa naye sebuleni kwenye kompyuta moja.
View attachment 614983
Ni sawa. huwezi kumkataza wala kumzuia kuwa na smartphone. Ila unatakiwa kuwa uwe na akili ya wakati huu pia ili uweze kumkamata kama anacheat utajua tuu na utapata ushahidi usio tia shaka hata kama angekuwa ana PhD. Ni rahisi kukua kwa technology isiwe shida kuwakamata wanaocheat, bali ni rahisi zaid wangu nilimkamata mchana kweupe mpaka akabaki ametoa macho kama mjusi akaamua kuondoka mweneyewe bila kufukuzwa...nisikuchosheHayo ni mawazo ya kale na kikoloni. Utaweza kufanya hivyo iwapo mkweo ni mbumbumbu tena wa kijijini.kwa mfano mke wako ni msomi na anakazi nzuri anapewa simu kazini utamkataza?
Halafu wenye wivu hivyo ndo wachepukaji balaa si anajua anawapatag huko kwenye social media so anajihami na mkewe asiliweWanaume wenye masharti masharti bora kuishi single na uwe na furaha tu,,mambo ya utu uzima huu kupangiwa vya kufanya siwezi ,,moyo wangu unatakiwa kuwa na furaha na niupe furaha
Dharau sio nzuri bwana, sisi wa Shinyanga ndio hatuwezi kutumia simatifoni?