Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

Wewe kama sio msukuma basi ni mti mkurya
 
Mkuu..
Mimi ntakushauri hilii tuu..
Ukitaka hilo litimie Kaoe Usukumani..
 
Zamani kulikuwa hamna smart phones na bado walichepuka na kuzaa nje ya ndoa.. Tabia haina dawa ataenda kanisani, sokoni kazini kooote huko kuna wanaume akiamua kuchepuka anachepuka tuu... We muombe Mungu akupe mke wa kufanana nawe mkuu
Ahahaaa! tena sokoni ndio kubaya kabisa! na mabuchani! Yaani hawa jamaa mkeo akiwa rahisi laazima watampata sipendagi kabisa hao jamaa kumzoea mke wangu
 
Hata umpe Nokia ya tochi hata akikaa bila simu bado atatongozwa na mzigo analiwa.

Kuwa huru jiamini mwanamke hachungwi.

Siwezi kumdhibiti kwa 100% lkn itasaidia sana mbinu hii
 
Huku kusini(Mtwara na Lindi) mwanamke kukunyima utamu ni kitu cha ajabu kabisa. Wanamseo," Kunnyima ntu kitu umepewa buree na Mungu" Kama kuna mtu anawivu hii mikoa hastaili kuishi.
Hawa watu sijui kawafundisha nani haya maufundi, wamefuzu katika ngazi ya Phd. Speaking from my experience.
Huko kuzuri sana, kwa masingo boy
 
Smartphone atumie tu, kwahiyo ukimkuta ameshaanza kutumia smartfone umnyang'anye? Si ajabu ulimpata kwa kutumia smart foni hiyo hiyo, cha msingi ni kuweka mpaka juu ya matumizi ya simu mko naye kitandani anachati na nani?? Kumbuka huwezi kumchunga ukafanikiwa, suala la kujichunga ajichunge mwenyewe tuu ukigundua anagawa nje mpige chini bado hajajitambua huyo
Maneno kuntu!
 
Utateseka sana mkuu, kwa nini usijiwekee msimamo tu wa kumuacha awe huru ila siku ukigundua tu pasipo shaka unarudisha mpira golini.
 
Back
Top Bottom