LWENYI
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,839
- 2,175
samahani mkuu ilikua ni kivumishi tuDharau sio nzuri bwana, sisi wa Shinyanga ndio hatuwezi kutumia simatifoni?
samahani mkuu ilikua ni kivumishi tuDharau sio nzuri bwana, sisi wa Shinyanga ndio hatuwezi kutumia simatifoni?
Kabisa mkuu. Mke anatongozwa na dunia nzima sasa hivi, tena ukiwa naye kitandaniSocial networks zimegeuka kuwa janga kwa mahusiano
Lkn tuwe wakweli mkuu, ukilinganisha kiwango cha mchepuko na kuvunjika kwa ndoa miaka hii ni sawa na kile cha zamani?Zamani kulikuwa hamna smart phones na bado walichepuka na kuzaa nje ya ndoa.. Tabia haina dawa ataenda kanisani, sokoni kazini kooote huko kuna wanaume akiamua kuchepuka anachepuka tuu... We muombe Mungu akupe mke wa kufanana nawe mkuu
Mkuu kuku akirushiwa sana punje za mahindi mwishowe anajisahau na kuishia kukamatwaKwani na huyo mwanamke kila anapotongozwa ni lazima akubali na huku anajua anamume wake.
Kama ni hulka yake hata kusiwe na TV ndani atakitembeza tu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
eti mtoa mada ni KE au ME??Uko Kigoma unatongoza mrembo yuko Nairobi, chezeya technology weye!
Lkn tumeambiwa na maandiko matakatifu kwamba ishini nao kwa akili. Kumnyima smartphone ndiyo akili yenyewe hiyo???? Haya aisee kazi kwako Sexless
Mke hachungwi
Hiyo siyo akili bali ni kutumia nguvu maana utakuwa umetumia ubabe ila yeye atakuwa hajaridhika.Lkn tumeambiwa na maandiko matakatifu kwamba ishini nao kwa akili. Kumnyima smartphone ndiyo akili yenyewe hiyo
Ukweli ni kwamba, simu haiwezi mfanya mtu achepuke. Ni tabia ya mtu tuu mkuu. Kwani hawezi sema HAPANA???!!!Lkn tuwe wakweli mkuu, ukilinganisha kiwango cha mchepuko na kuvunjika kwa ndoa miaka hii ni sawa na kile cha zamani?
Mkuu naomba uuchukue wosia wangu japo kwa 40% tu. Smartphone ni shetani mkubwa anayevunja ndoa za watu kwa sasa. Mkikorofishana kidogo tu mke anamkubalia na kumpa itumbua wa kwenye smartphone.Mwanamke anaweza kutongozwa muda wowote siyo lazima awe ana miliki smartphone.
Mwanamke anaweza iga au kufanya chochochote bila hata kumiliki smartphone...
Smartphone siyo mbaya, binadamu ndiyo wabaya...
Cc: mahondaw
Eti ni catalyst ina speed up chemical reactionUkweli ni kwamba, simu haiwezi mfanya mtu achepuke. Ni tabia ya mtu tuu mkuu. Kwani hawezi sema HAPANA???!!!
Mmmh unaisingizia 'Simu Janja' bure tu...mtu mwenyewe(mwanamke) ndio mwenye tabia mbovu hajiheshimuLkn tumeambiwa na maandiko matakatifu kwamba ishini nao kwa akili. Kumnyima smartphone ndiyo akili yenyewe hiyo
Hapo sasa ni tabia ya mwanamke mwenyewe siyo smartphone.Mkuu naomba uuchukue wosia wangu japo kwa 40% tu. Smartphone ni shetani mkubwa anayevunja ndoa za watu kwa sasa. Mkikorofishana kidogo tu mke anamkubalia na kumpa itumbua wa kwenye smartphone.
Mke anatongozwa mkiwa mmelala kitandani, ni sawa hii?
Akili fupi kweli. Watu wanatongoza via hata normal sms