JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,967
Kwa hiyo ni bora uteseke wewe?? kwanza kwa nini unaoa mtu usiyemwamini??Siyo jambo rahisi kumuacha umpendaye. Ni bora kuzuia
Kwa hiyo ni bora uteseke wewe?? kwanza kwa nini unaoa mtu usiyemwamini??Siyo jambo rahisi kumuacha umpendaye. Ni bora kuzuia
Tabia ya binadamu ni kama hali ya hewa (weather), mara jua mara mvua ghafla. Ndiyo maana panahitajika mikakati ya kuondoa visababishi.kwanza kwa nini unaoa mtu usiyemwamini??
Wake za watu mna misimamo gani mbona mnaliwa kirahisi sana kwenye social network hata hapa JF mnaliwa kimyakimya!!Siku hizi si kama zamani,wanawake tuna misimamo yetu sio kila kitu mnachotukataza basi mnadhani hatufanyi labda ujigeuze chupi nikuvae kila ninapoenda
Sasa hapo unadhani utafanikiwa nini? Wa hivyo ni tabia yake, ndo maana unakuta wanawake wanauza mwili lakini mwingine anauza karanga, unajiuliza anayeuza mwili yeye ndo kaona ndo njia sahihi? Mimi nadhani ukishaona huwezi kumuamini better kumwacha tu au kuamua aina nyingine ya maisha.Tabia ya binadamu ni kama hali ya hewa (weather), mara jua mara mvua ghafla. Ndiyo maana panahitajika mikakati ya kuondoa visababishi.
.
Si unaona watu wanavyojazana kwenye majumba ya ibada? Tafsiri yake ni kwamba maovu yanatendwa kwa wingi.
Wakristo wao wanasema kila mtu ni mtenda dhambi. Usimuamini MTU ndugu yqngu itakula kwako.
Tahadhari ni muhimu ndugu
Wow! Thanx buddy. U seem to be having an eagle eye. Many of the critics of this thread, either don't reveal the reality or are myopic.It is damn true!
Weweee acha kutuumiza roho apa jf inamaana tunagegedewa umu daaaWake za watu mna misimamo gani mbona mnaliwa kirahisi sana kwenye social network hata hapa JF mnaliwa kimyakimya!!
Duuh! Unaweza kuwa sahihi mkuu. Umegusa mifano ya kitaani kabisa. Dada na shape lake anafanya umama ntilie lkn kuna mwingine anajiuza. Mmh!ndo maana unakuta wanawake wanauza mwili lakini mwingine anauza karanga, unajiuliza anayeuza mwili yeye ndo kaona ndo njia sahihi?
it is damn true,mnagegedewa kimyakimya!!Weweee acha kutuumiza roho apa jf inamaana tunagegedewa umu daaa
Hatari sana yani mbay wife akiwa beki hazikabi mbona utakoma na ndoa yako hio.Mkuu naomba uuchukue wosia wangu japo kwa 40% tu. Smartphone ni shetani mkubwa anayevunja ndoa za watu kwa sasa. Mkikorofishana kidogo tu mke anamkubalia na kumpa itumbua wa kwenye smartphone.
Mke anatongozwa mkiwa mmelala kitandani, ni sawa hii?
Lkn mazingira pia yanachangia sana. Mwanamke anayefanya kazi bar ni rahisi sana kumegwa kuliko yule anayefagia kanisani ama msikitini.tehe tehe tehe
Tabia aidhibitiki, ni mtu binafsi na hulka yake
Yaani mkuu ni hatari sana. Mke akiwa na smartphone ni wa dunia nzima, siyo wako peke yakoHatari sana yani mbay wife akiwa beki hazikabi mbona utakoma na ndoa yako hio.
Inauma sana ukiwa muaminifu kwa mke/mume ama mtu na una plan nae za mbali sana halafu anakuwa anatabia za kuflirt na watu behind your back. Sio siri smartphone zimerahisisha mno huu mchezo kuliko hali ilivyokuwa enzi za nokia jeneza.Siyo jambo rahisi kumuacha umpendaye. Ni bora kuzuia
Kinachofanyika hapo mkuu ni kupunguza uwezekano (probability) wa kumegwa. Chukulia mfano mke anayefanya Nazi bar na yule anayehudumu kwenye nyumba za ibada. Wa kwenye bar ana mazingira hatarishi mno. Na huyu mwenye smartphone ana mazingira hatarishi mnoKulinda Mwananke Ni Sawa Na Kulinda Bahari Ukilinda Coco Beach Wenzako Wanachota Maji Puerto Rico Huko...
Ni kweli hili unaamua kumfuatilia tu na kumkanya, ila inafikia stage inachosha ukiangalia umepoteza miaka mingi san na mshafanya mengiSiyo jambo rahisi kumuacha umpendaye. Ni bora kuzuia
Yaani sana mkuu. Wakware wanam-like tu huko kwenye mitandao, wanaanza kumsifia mke wa MTU kisha anamegwa.Sio siri smartphone zimerahisisha mno huu mchezo kuliko hali ilivyokuwa enzi za nokia jeneza.