Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

Kumbe we ME?! Nilijua una 'play for both sides'.
 
Siwezi mzuia kutumia simu janja ili nimdukue vizuri!
 
usidhani kila mwanamke umuonae atakaua sawa na mkeo.
Labda uwe na mke ambaye ana uke tu lkn hana sifa za kuvutia wanaume. Umeoa mbaya was sura na shape, huyu ndiyo atakuwa wako peke yako
 
Hahaaah unakuta ki meseji twin twii twiiii, unafungua unakuta lijamaa limemtumia mkeo picha ya FC LIBOLO YA ANGOLA afu we una kipipi
 
Wanawake sio watu kwenye hii dunia wameletwa kuharinu maisha ya watu tu basi na sio zaidi ma mwanamke hachungwi kamww
 
Smartphone inawafanya wadada kuwa wendawazimu, kuenenda kama nyumbu (kuigana) na kufanya vitu vilivyo chini ya umri wao.

Mdada ana mume wake na amebahatika kuzalishwa watoto 0, 1, 2, 3, ...anaanzaje kutupia selfie kwenye social network? Lengo lakevnn hasa? Anauza sura yake kwa wakware walioko social networks. Si ndiyo hivyo?

Sasa dawa ni hii: nitanunua compyuta moja itakaa nyumbani ambayo ndiyo tutatumia kuchat na watu kwenye social networks mida ya jioni baada ya kazi. Tutatumia password inayofahamika na wote 2, iwe Facebook, WhatsApp, badoo, Instagram, LinkedIn, Snapchat, n.k kote huko tunaingia wote.

Imebainika kwamba siku hizi wake za watu hutongozwa hata mbele ya waume zao kupitia mitandao ya kijamii. Utaona tu mkeo anaguna kuashiria cheko fupi, ukiuliza atakuonyesha video fupi ya Kansiime, kumbe anakupoteza maboya. Kishatongozwa tayari.

Kuna wazembe wanaziruhusu smartphones hata kitandani, na kupelekea wake zao kutongozwa wakiwa kitandani. Kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini.

Mke wangu hatakuja kutumia smartphone, itakuwa mwendo wa Nokia tochi tu. Mitandao ya kijamii ni nyumbani tukiwa naye sebuleni kwenye kompyuta moja.

View attachment 614983
wee si umesema ni mwanamke mfirwaji? imekuwaje umegeuka kuwa mwanaume?
 
Yatakushinda tu! Labda kaoe bush huko... Na ata ukioa bush atachangamka tu na kutambua unachokofanya!
 
Mi niliona mambo hayaendi jikoni nikaona isiwe tabu nimeivizia simu yake nimeenza eneo la mtandao nineingia I .p adress nyingine kwahiyo simu haikai kwenye net namuona anawasiliana na kucheza gemu tu
 
HATA KWENYE SMS ZA KAWAIDA WANATONGOZWA, LA MSINGI NI KUJITAMBUA TU

VINGNEVYO ATALIWA NA
1. MUUZA GENGE KWA OFA YA NYANYA
2. MUUZA DUKA KWA VOCHA YA BURE
3. OFISINI KWA OFA ZA KISHAMBA
4. JOHN MUUZA MAJI
 
HATA KWENYE SMS ZA KAWAIDA WANATONGOZWA, LA MSINGI NI KUJITAMBUA TU

VINGNEVYO ATALIWA NA
1. MUUZA GENGE KWA OFA YA NYANYA
2. MUUZA DUKA KWA VOCHA YA BURE
3. OFISINI KWA OFA ZA KISHAMBA
4. JOHN MUUZA MAJI
Aisee! Dawa nikubakia single
 
Kama mlikutana kwenye mitandao itakuwa ngumu sana kumzuia.
Ila kiukweli, mitandao ni shetani aliyejificha kwa ajili ya kuzibomoa ndoa na mahusiano baina ya watu.
 
Kaoe li unskilled hata skills za kuuza genge halina
Nani kakwambia kwenye mapenzi kinangaliwa kigezo cha skills. Ingekuwa hivyo wewe mwenye skills si ungekuwa umolewa? Mbona kucha kutwa mitandaoni kutafuta mabwana na huwapati?
 
Back
Top Bottom