- Thread starter
- #41
Ewaaaaa! Smartphone ni catalyst... Asante kwa neno hili zuriEti ni catalyst ina speed up chemical reaction
Ewaaaaa! Smartphone ni catalyst... Asante kwa neno hili zuriEti ni catalyst ina speed up chemical reaction
Wapo mkuu.. Mbona mimi wife wangu ana smartphone na ninamwamini tu.Ni kweli mkuu, lkn kwenye smartphone imezidi. Na wanawake wa miaka hii hawana mshipa wa kusema NO
Hahahahahs anakuonesha kakideo ka kansiime hahhah...Smartphone inawafanya wadada kuwa wendawazimu, kuenenda kama nyumbu (kuigana) na kufanya vitu vilivyo chini ya umri wao.
Mdada ana mume wake na amebahatika kuzalishwa watoto 0, 1, 2, 3, ...anaanzaje kutupia selfie kwenye social network? Lengo lakevnn hasa? Anauza sura yake kwa wakware walioko social networks. Si ndiyo hivyo?
Sasa dawa ni hii: nitanunua compyuta moja itakaa nyumbani ambayo ndiyo tutatumia kuchat na watu kwenye social networks mida ya jioni baada ya kazi. Tutatumia password inayofahamika na wote 2, iwe Facebook, WhatsApp, badoo, Instagram, LinkedIn, Snapchat, n.k kote huko tunaingia wote.
Imebainika kwamba siku hizi wake za watu hutongozwa hata mbele ya waume zao kupitia mitandao ya kijamii. Utaona tu mkeo anaguna kuashiria cheko fupi, ukiuliza atakuonyesha video fupi ya Kansiime, kumbe anakupoteza maboya. Kishatongozwa tayari.
Kuna wazembe wanaziruhusu smartphones hata kitandani, na kupelekea wake zao kutongozwa wakiwa kitandani. Kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini.
Mke wangu hatakuja kutumia smartphone, itakuwa mwendo wa Nokia tochi tu. Mitandao ya kijamii ni nyumbani tukiwa naye sebuleni kwenye kompyuta moja.
View attachment 614983
hili li user name la huyu jamaa mpeni life bana banaahuyo mke unabidi umzae mwenyewe.
Wengine uchwara tu mkuu, eee!!?Pesa na mama yako mzazi ndiyo wenye mapenzi ya dhati, amka!!!
Mkuu humu kuna threads kibao zikiuliza kwann ndoa za miaka hii hazidumu??? Maana yake ni kwamba michepuko zamani ilikuwepo lkn siyo kwa kiwango hiki cha uwepo wa smartphoneswababa zetu walikuwa na simu za kukoroga lakini wamama walikuwa wanachepuka usisingizie smartphone
Kumuamini na kuchepuka ni vitu viwili tofauti. Unaweza usimuamini mtu akawa hachepuki na unaweza kumuamini akawa anachepukaWapo mkuu.. Mbona mimi wife wangu ana smartphone na ninamwamini tu.
Sasa ht kwa sms za kawaida atasema no?
Hahaha! Mkuu humu JF hatupaswi kutambuanamtoa mada, wewe ni ke au me?
haha kwa kuangalia miaka niliyoishi humu jf utajua tu hizo thread nishazisoma muache mkeo amiliki simu ya kupapasa kama ni malaya i malaya tu hata umfungie ndani haitakusaidiaMkuu humu kuna threads kibao zikiuliza kwann ndoa za miaka hii hazidumu??? Maana yake ni kwamba michepuko zamani ilikuwepo lkn siyo kwa kiwango hiki cha uwepo wa smartphones
wewe si ni ke jaman! mbona post yako umepost as meHahaha! Mkuu humu JF tunapaswa kutumia hidden IDs
sexlessmtoa mada, wewe ni ke au me?
Mwangaluuka bhabha/maahyokaoe huko shinyanga siyo hapa mjini