princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,052
- Thread starter
- #41
Nop Dad,Nimezoea mamanzi kunitokea wanaji-format,wanaji-download wenyewe.
Nop Dad,Nimezoea mamanzi kunitokea wanaji-format,wanaji-download wenyewe.
huu uongo nilijuaga naambiwa mimi tu....Huyo sio mm nimeiba picha ya watu tu
mecheka mm ndio unavyojidanganyaga eenhhuu uongo nilijuaga naambiwa mimi tu....
akati mamiloo white kabisa kwa fasi ya mgongo na kishundu yeche yeche ukikatiza kwa fasi ya skani hakuna chaliii isiyo geuka kuchek haga
kweli bhanamecheka mm ndio unavyojidanganyaga eenh
Inaonekana jamaa ni wa Arusha msamehe tu, naamin hata wengine wamesoma kwa tabutabu tu.