Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,086
Mmh ngoja nikuache tu!!
We tatizo lako unatishwaga na mipasho ya baadhi member katikati ya mijadala ya watu kujifanya wana salimiana Mara wamemisiana Elli@miss chaga@khantwe na wengi wao wanajuana
Hahaa kwa hiyo kwa mawazo yake huwa tunapena. Kweli unyimwe kila kitu ila omba usinyimwe akili
Umeonaa eeh...Basi ye anajua mnapeana balaa...ila siku zinavozidi kwenda atajifunza mengi..
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!
Atakuwa mwehu huyu
Nimecheka sana daaa! Jf kuna vituko!
ww kama unafukuzia sakata la escrow ngoja tuone utaibuka tsh ngapi, afadhali ss tunapewa uroda
hilo swali la Tinna ,sasa wewe ukijibu unanipotezea TIMING zangu.
na hata akila hashibi...........
Hivi ni kweli mnatoa papuchi humu?
namba ya Mpesa iko wapi mkuu
kinda circumlocutious...
Kwa hiyo unatangaza rasmi kuwa nia ya sredi yako ni kufukuzia papuchi?