Sitapost ujinga tena JamiiForums

Sitapost ujinga tena JamiiForums

''Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!'

Nelson kweli kwa kauli hii umeacha kupost ujinga?
 
We tatizo lako unatishwaga na mipasho ya baadhi member katikati ya mijadala ya watu kujifanya wana salimiana Mara wamemisiana Elli@miss chaga@khantwe na wengi wao wanajuana
 
Last edited by a moderator:
We tatizo lako unatishwaga na mipasho ya baadhi member katikati ya mijadala ya watu kujifanya wana salimiana Mara wamemisiana Elli@miss chaga@khantwe na wengi wao wanajuana

Hahaa kwa hiyo kwa mawazo yake huwa tunapena. Kweli unyimwe kila kitu ila omba usinyimwe akili
 
Last edited by a moderator:
Kama ipo. ipo tu... Hawa viumbe hawana formula.
 
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!

Mkuu.....
Yaani kumbe ndio unakumbuka kujikuna palipo acha kuwasha..!?
 
Mnapewa papichi kwa kuchangia kistaarabu ...

Ngoja na mimi nitaanza kuchangia kistaarabu na sio kizungu!
 
Kwahio unafanya hivyo ili upate papuchi???? Heri nimsikilize Mzee wangu Wa Male Tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom