Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
- Thread starter
- #41
"hata akioga mjini haendi..." ha ha ha
acha ushabiki mkuu, hii thread sio ya umbea ati
"hata akioga mjini haendi..." ha ha ha
Horny brat barely out of the adolescence stage.
sawa mjinga unaepost ujinga.
acha ushabiki mkuu, hii thread sio ya umbea ati
Acha kudandia gari utagongwa hiyo quote sio yako
Kumbe wenye rep power zao wanatoa na kupokea papuchi hiv mim sijaelewa mada au nimejichanganya????
Na tangazo hili ulipie
mbona upo kwenye line, tulia hapohapo!
Huwa nachoshwa sana na sredi, sijui tunaelekea wapi kwakweli!
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!
Kumbe Madada Humu Mnatoa Papuchi Kwa Wastaarabu Sasa Mie Nataka Kujua Mstaarabu Anajulikana Vipi Ikiwa Hata Haujawai Kukaa Naye
acha majungu mkuu!