Sitapost ujinga tena JamiiForums

Sitapost ujinga tena JamiiForums

Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!

maskin shida yako ni nn labda? au papuchi? usijipe moyo sizan unaweza pata papuchi jf. labda wenda wapo
 
Naomba kujua wewe upo kwenye kundi gani kati ya wanaume au vijana wa kiume.

Ndeye nakupa ruksa uje unichungulie maungo yangu utagundua hilo....

Habari za masiku, ulishajifunza kudrive?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom