Mkuu KikulachoChako ukioa mwanamke ukamwendekeza utajikuta unakosa na wazazi wako,ndugu zako na hata marafiki zako maana wana ushauri mbaya sana.
Nani aliyekwambia kuoa ni lazima....
Hata mashetani huwa wanawatumia wanawake kwenye kutenda maovu yao.....
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Kuna matukio mabinti wa siku hizi wanafanya mpaka nakosa hamu ya kuja kuwa na mtoto wa kike maana yanatia aibu na kichefuchefu, fikiria mzazi unakutana na picha ya binti yako akiwa uchi wa mnyama kwenye mitandao hivi utajisikiaje,
Mzazi unatumia pesa nyingi kukupeleka binti kako shule mwisho wa siku anarudi akiwa na mimba mtaa mzima unakucheka, nawapenda sana watoto wa kike ila kuna visa nikiviona nachukia kuzaa mtoto wa kike maana wanaibisha sana.
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Kuna matukio mabinti wa siku hizi wanafanya mpaka nakosa hamu ya kuja kuwa na mtoto wa kike maana yanatia aibu na kichefuchefu, fikiria mzazi unakutana na picha ya binti yako akiwa uchi wa mnyama kwenye mitandao hivi utajisikiaje,
Mzazi unatumia pesa nyingi kukupeleka binti kako shule mwisho wa siku anarudi akiwa na mimba mtaa mzima unakucheka, nawapenda sana watoto wa kike ila kuna visa nikiviona nachukia kuzaa mtoto wa kike maana wanaibisha sana.
Alafu maajabu ya Mungu uzao wako ukute ni watoto wa kike tu na watakuwa msaada na neema sana maishani mwenu,kwani watoto wa ngapi wa kiume wanafanya mambo ya ajabu.Omba Mungu akupe watoto kama kina isaka,daniel,esta,watoto wenye baraka na si machukizo mbele ya Mungu wazazi na jamii nzima.
Kwa Kumkufuru Mungu Atakupa Watoto Wa Kike Afu Tuone Hicho Kichefuchefu Utatapika Au Utameza Mate
Hivi ulikaa ukatafakari kabla hujaandika haya?
Na hao watoto wa kiume mtazaa na wanaume wenzenu?
Na wewe unaesema mtoto wa kike ni laana hata sijisumbui kukuuliza kitu.
Maskiniiiii, nimebaki nawaonea huruma tu nyie watoto.
Nina wasiwasi na umri wako, maana mtu aliyepevuka hawezi kuwa na fikra kama hizi kumbuka hata mama yako ni mtoto wa kike.
Samahani dada zangu kama nimewakwaza lakini mjue mnaaibisha wazazi kwa matendo yenu ya ajabu ajabu.
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
ki ukweli ukichunguza sana utakuta wanawake wengi ndio chanzo cha mifarakano ndani familia nyingi....
Wanaume wengi hubadilika sana baada ya kuoa....wengine hukosana hata na wazazi wao pasipo na sababu za msingi......kisa mwanamke....
Hawa viumbe hata sijui wameumbwaje....
Bora kukaa msela utaishi kwa raha na amani kuliko ukiishi na huyu mwanamke maana unaweza ukafa muda wowote kwa presha au shinikizo la damu....au kupooza upande mmoja....
samahani dada zangu kama nimewakwaza lakini mjue mnaaibisha wazazi kwa matendo yenu ya ajabu ajabu.
Wewe Nani Mpaka Umeamua Kukosoa Uumbaji Wa Mungu??..Unaukamilifu Upi Zaidi Ya Hayo Unayoyataja??Naona Unakuwa Mwepesi Wa Kuhukumu...Na Mwanao Wa Kike Atakuwa Na Hayo Matendo Afu Tuone Utamuua.
kwa hii post mh! Pole sana