KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,766
- 39,527
Duuh nimeshangaa sana baadhi ya maneno ya watu hapa eti mtoto wa kike ni laana basi muache kutuoa mana mtakuwa mnaoa Laana! kumbuken sote tumezaliwa na mama zetu ambao nao walikuwa watoto hao hao wakike,Je kwa hiyo mama zetu ni laana?? Haramu huzaa haramu yenyewe! kwa hiyo sote tu haramu usimnyooshee mtoto wa kike kidole.DAIMA KUMBUKA MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO!!!
Wanawake ndio chanzo cha mateso duniani...ni alama ya mkosi na chanzo cha mabalaa..hata adamu alirubuniwa mwanamke kutenda dhambi iliyokuu..na kumlaumu Mungu kwa kumletea kiumbe kilichomtia matatizoni......na ndiye aliyeshiriki kumuangamiza mtu wa Mungu SAMSON...ni muwakilishi wa ibilisi hapa duniani...sehemu yoyote alipo mwanamke lazima kuwe na mifarakano...