mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Last edited by a moderator:
Wewe jamaa unashida gani mbona unafufua Thread za zaman?
Vipi wa kiume wanaoliwa?Kuna matukio mabinti wa siku hizi wanafanya mpaka nakosa hamu ya kuja kuwa na mtoto wa kike maana yanatia aibu na kichefuchefu, fikiria mzazi unakutana na picha ya binti yako akiwa uchi wa mnyama kwenye mitandao hivi utajisikiaje,
Mzazi unatumia pesa nyingi kukupeleka binti kako shule mwisho wa siku anarudi akiwa na mimba mtaa mzima unakucheka, nawapenda sana watoto wa kike ila kuna visa nikiviona nachukia kuzaa mtoto wa kike maana wanaibisha sana.
bora hao wa kike kuliko kuwa na wakiume kisha wanaishia kuwa mashoga ndo aibu kubwa sanaKuna matukio mabinti wa siku hizi wanafanya mpaka nakosa hamu ya kuja kuwa na mtoto wa kike maana yanatia aibu na kichefuchefu, fikiria mzazi unakutana na picha ya binti yako akiwa uchi wa mnyama kwenye mitandao hivi utajisikiaje,
Mzazi unatumia pesa nyingi kukupeleka binti kako shule mwisho wa siku anarudi akiwa na mimba mtaa mzima unakucheka, nawapenda sana watoto wa kike ila kuna visa nikiviona nachukia kuzaa mtoto wa kike maana wanaibisha sana.