Sitamani kuzaa mtoto wa kike

Sitamani kuzaa mtoto wa kike

Kwangu ni bora mtoto wa kike kuliko wa kiume... kwa sababu naweza vumilia uchangudoa kuliko Ushoga!!

Dunia imekua mbaya sana aisee.. nikifikiria risk ya kupata toto linalopumuliwa kisogoni na mwanaume mwenzake napata kichefu chefu kabisa!!:nono::nono:
 
Usikimbie Changamoto Baba lazima uzikabili na hiyo ni changamoto itakayoongeza heshima yako kama utazaaa na kumkuza mtoto wa kike hatimaye akuletee heshima

Mkuu nilikuwa natamani sana kuwa binti yangu maana kusema kweli wanawake wanawajali wazazi kuliko wanaume lakini kuna mambo wanafanya yanakuwa aibu kwa mzazi.
 
Kuna watu wamejishushia heshima kupitia huu uzi. Na hakika kwa wenye upeo hata wa kuku watawadharau sana.
 
Sijawahi kutana na mada ya kijinga kama hii humu ndani ...mfyuuuuu
 
Hivi ni wanawake ndio waliowarubuni hao kina Adamu na Samsoni au wao wenyewe walishindwa kutimiza wajibu wao.How come failure zako uanze ku blame watu wengine.When can you learn to be responsible for your own ACTIONS??Tabia hii ya ku blame ni ya wale wanapenda kufeli

Haya mabalaa yote hayakuwepo kabla hajaumbwa huyu kiumbe anayeitwa mwanamke..dunia ilikuwa kama paradiso na adamu alikuwa anaishi kwa raha zake....lakini baada ya kuumbwa kwa mwanamke ndio ukawa mwanzo wa mabalaa duniani mpaka leo.
.
 
Omba MUNGU akupe mtoto mwenye tabia nzuri bila kujali jinsia yake. Hivi wewe kama mzazi utafurahi ukikuta picha ya kijana wako kashikshwa ukuta??. Au ni teja?, Au ni kibaka???
 
Wanawake ndio chanzo cha mateso duniani...ni alama ya mkosi na chanzo cha mabalaa..hata adamu alirubuniwa mwanamke kutenda dhambi iliyokuu..na kumlaumu Mungu kwa kumletea kiumbe kilichomtia matatizoni......na ndiye aliyeshiriki kumuangamiza mtu wa Mungu SAMSON...ni muwakilishi wa ibilisi hapa duniani...sehemu yoyote alipo mwanamke lazima kuwe na mifarakano...

Ungekula chako mapema kabla dhambi ya Adam na Ev haijanuka! wangoja nn hata waishi na ibilisi hadi leo? kweli ee mwanamke ibilisi???Mtoto wa ibilisi ni ibilisi mwenyewe! Including you,na huyo ibilisi uliye moa and your mom,+your kids uwe nao na usiwe nao sitaki kujua coz wote wametoka kwa mwanamke unaemwita ibilisi! Au wewe si mwanadamu? ni ndege mwenye kipaji cha kunena??? basi katafute kundi lako. Wafanya nin basi na ibilisi hapa dunian? si uondoke??? Eeboo!!! kwa taarifa yako sote tu watumishi wa Mungu hapa duniani na si ibilisi, kama unahusika na ibilisi chapa mwendo! sisi hatumo!!! wanawake hatumo!!!
 
Hata MUNGU aliyewaumba kwa kutambua matatizo yao akatuasa tuishi nao kwa akili sana...hawa viumbe....
 
Hata MUNGU aliyewaumba kwa kutambua matatizo yao akatuasa tuishi nao kwa akili sana...hawa viumbe....

Hata sisi Mungu alituasa pia tuishi na hawa wanaume kwa uangalifu sana na uvumilivu mana wametawaliwa sana na tamaa ya mwili saa ngapi wataishi kwa akili? wanafikiria kwa miili...
 
Haya mabalaa yote hayakuwepo kabla hajaumbwa huyu kiumbe anayeitwa mwanamke..dunia ilikuwa kama paradiso na adamu alikuwa anaishi kwa raha zake....lakini baada ya kuumbwa kwa mwanamke ndio ukawa mwanzo wa mabalaa duniani mpaka leo.
.
Kwani ukikiri kuwa Adamu na Samsoni walikuwa dhaifu tu kuna tatizo gani.Kuna mifano ya wanawake kadhaa waliokuwa tegemeo kwa watu na wanaume walioshindwa kwa udhaifu wao wenyewe.Hebu niambie huyu Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu alidanganywa na mwanamke gani? si tamaa yake tu ya kupenda hela na ufisadi?
 
Molembe
Hiyo mimba anakuwa kapewa na mtoto wa kike mwenzie? Nakuombea kwa Mungu upate matoto ya kiume. Moja liwe jambazi, likuibie mpaka wewe. Jingine liwe teja na jingine liwe kibaka wananchi walitie kibiriti. Labda ndo utajua watoto wa kike wana thamani kama mama yako mzazi alivyo na thamani kwako.
Shy land
Amina. Mungu akubariki upate toto la kiume liwe shoga. Wanaume wenzie walitafune mpaka kwenye masofa ya sebuleni kwako mchana kweupe.
Heaven on Earth
Umeona eh? Nadhani hawajazaliwa na mama hawa wana watoka pabaya.
sister
Hapana, waache wajaliwe watoto wa kiume ambao watawatoa machozi na kujutia makauli yao machafu kama vyoo vya stendi ya Sumbawanga.


Dooooh Salaleh hizi ni hasira au? nimekuogopa kaka mkubwa maana umemaliza laana zote, nawaombea wote msiwe waropokaji wa maneno mazito namna hii, hatariiii
 
Last edited by a moderator:
Hata sisi Mungu alituasa pia tuishi na hawa wanaume kwa uangalifu sana na uvumilivu mana wametawaliwa sana na tamaa ya mwili saa ngapi wataishi kwa akili? wanafikiria kwa miili...

Mungu hakuwahi kutoa maagizo hayo acha kumsingizia...kuna uhusiano wa karibu kati ya ibilisi na mwanamke....hata mapepo huwavaa sana wanawake kwani ni marafiki zao....
 
Hata MUNGU aliyewaumba kwa kutambua matatizo yao akatuasa tuishi nao kwa akili sana...hawa viumbe....

Mkuu KikulachoChako ukioa mwanamke ukamwendekeza utajikuta unakosa na wazazi wako,ndugu zako na hata marafiki zako maana wana ushauri mbaya sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom