KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
My nakuelewa vizuri, unajua sikutegemea kama mtu mwenye utashi anaweza kuandika hivi. Hivi hawa wanaume wana kitu gani kikubwa chakufanya wajione wao ni kila kitu, hakuna mtu asiekosa, wanaume wenyewe siku hizi wengi wamepoteza dira, hawajielewi wamebaki kuwa mashoga leo wanawalaani vizazi vyetu khaa!!!!! ni wanawake wangapi wanafanya mambo ya maana hadi dunia inatikisika ili hali wanaume wapo ila wameamua kuvaa sketi zetu, pfyuuuuuuuuu!!!!!! Kwa kweli wajifunze kuongea kwa staha sio kukurupuka.
Nikipata wa kike nabadilishana na jogoo nile nyama...