mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,587
- 466
Watoto wakike niwazuri sana tena hawana shida sema2 sehemu zao za siri ni hatarishi kwao ndo mana wanaaibika.
Jiwe limerushwa gizani.....
huyu jamaa na atubu kabisa, hakika atakuwa na uzao jike pekee,,,,, jinsi nitakavyo mtoto wa kike....wengine hawawataki,,, nna midume ishaanza kunikunjia ngumi,,,mashati yangu wanavaa.... mda si mrefu shaving machine tutashare......natamani sana katoto ka kike....
Wazazi ndio tatizo. Wameshindwa lea watoto wanawaachia wafanyakazi, ndugu na boarding.
Wanaachia bila kuwafundisha madhara ya vile wafanyavyo.
Hawawaelezi ukweli kuhusu maisha na kumcha Mungu.
Zaidi tuombe Mungu atuokoe
Wanaume ni wachache sana siku hizi,wajinga wengi wanafikiri kuning'iniza pumbu ndio uanaume
Wewe jitahidi kwenye malezi tu hakuna mtoto aliye bora kuliko mwingine, Kila siku huwa naambia watu hakuna mtoto mzuri kama wa kike na ni kweli iko hivyo, Ni muda wa mpito tu akiupita huwa hakuna tatzo lingne zaidi kulinganisha na hao wa kiume mnaowasema eti ni bora.
Molembe
Hiyo mimba anakuwa kapewa na mtoto wa kike mwenzie? Nakuombea kwa Mungu upate matoto ya kiume. Moja liwe jambazi, likuibie mpaka wewe. Jingine liwe teja na jingine liwe kibaka wananchi walitie kibiriti. Labda ndo utajua watoto wa kike wana thamani kama mama yako mzazi alivyo na thamani kwako.
Shy land
Amina. Mungu akubariki upate toto la kiume liwe shoga. Wanaume wenzie walitafune mpaka kwenye masofa ya sebuleni kwako mchana kweupe.
Heaven on Earth
Umeona eh? Nadhani hawajazaliwa na mama hawa wana watoka pabaya.
sister
Hapana, waache wajaliwe watoto wa kiume ambao watawatoa machozi na kujutia makauli yao machafu kama vyoo vya stendi ya Sumbawanga.
Mkuu pole sana ila hapo kwenye red inawezekana huwajali watoto wako au unajipenda kupita kiasi jaribu kuwanunulia nguo nzuri kama zako uone kama watavaa zako.
Jifunze kusema rafiki! Mama yako ni mtoto wa kike!!!!!!!!!!!!!! Badilisha kauli sema mungu nisaidie mtoto wangu wa kike asiniangushe!Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Jifunze kusema rafiki! Mama yako ni mtoto wa kike!!!!!!!!!!!!!! Badilisha kauli sema mungu nisaidie mtoto wangu wa kike asiniangushe!
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Mungu nisaidie mtoto wangu wa kike asiniangushe!
Muombe Mungu msamaha kbs