DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Molembe
Hiyo mimba anakuwa kapewa na mtoto wa kike mwenzie? Nakuombea kwa Mungu upate matoto ya kiume. Moja liwe jambazi, likuibie mpaka wewe. Jingine liwe teja na jingine liwe kibaka wananchi walitie kibiriti. Labda ndo utajua watoto wa kike wana thamani kama mama yako mzazi alivyo na thamani kwako.
Shy land
Amina. Mungu akubariki upate toto la kiume liwe shoga. Wanaume wenzie walitafune mpaka kwenye masofa ya sebuleni kwako mchana kweupe.
Heaven on Earth
Umeona eh? Nadhani hawajazaliwa na mama hawa wana watoka pabaya.
sister
Hapana, waache wajaliwe watoto wa kiume ambao watawatoa machozi na kujutia makauli yao machafu kama vyoo vya stendi ya Sumbawanga.
Mi natamani huyo mtoto wa mwenzio (shoga) aje kumuoa mtotowako wa kike!
Last edited by a moderator: