Sitamani kuzaa mtoto wa kike

Sitamani kuzaa mtoto wa kike

Molembe
Hiyo mimba anakuwa kapewa na mtoto wa kike mwenzie? Nakuombea kwa Mungu upate matoto ya kiume. Moja liwe jambazi, likuibie mpaka wewe. Jingine liwe teja na jingine liwe kibaka wananchi walitie kibiriti. Labda ndo utajua watoto wa kike wana thamani kama mama yako mzazi alivyo na thamani kwako.
Shy land
Amina. Mungu akubariki upate toto la kiume liwe shoga. Wanaume wenzie walitafune mpaka kwenye masofa ya sebuleni kwako mchana kweupe.
Heaven on Earth
Umeona eh? Nadhani hawajazaliwa na mama hawa wana watoka pabaya.
sister
Hapana, waache wajaliwe watoto wa kiume ambao watawatoa machozi na kujutia makauli yao machafu kama vyoo vya stendi ya Sumbawanga.

Mi natamani huyo mtoto wa mwenzio (shoga) aje kumuoa mtotowako wa kike!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa...umeniacha hoi kwa hayo majibu yako. Ila umempa ukweli, yaani Molembe kuliko aone uchi wa binti yake bora mvulana wake afanywe mwanamke... mimi hii kitu inaniogopesha sana aiseee.

annabrenda inawezekana sikufikria kabisa kuhusu watoto wa kiume kwa sababu matukio hayo sio mengi kama wafanyao watoto wa kike.
 
Last edited by a moderator:
Mtoto wa kike hawezi kuwa sawa na mtoto wa kiume hata siku moja....

Kwa hiyo kwa tofauti waliokuwa nazo mtoto wa kike amebadilika kuwa laana? Mama yako, mkeo, bibi yako,shangazi yako nk wote hao kwako ni laana?
 
Ulitendwa ndugu yangu mpaka infikia unatuchukia kiasi hicho

ila kumbuka sio wanawake wote wako hivyo ni baadhi tu
hata wanaume nao wanampaungufu yao na wana tabia mbaya
hivyo kila mwanadamu anatabia mbaya hakuna aliyemkamilifu na mwema hapa duniani
cha kufanya nikuishi kwa akili na mwenza wako na kuishi kwa uvumilivu tu hakuna kingine

Tawile.....
 
Kwangu ni bora mtoto wa kike kuliko wa kiume... kwa sababu naweza vumilia uchangudoa kuliko Ushoga!!

Dunia imekua mbaya sana aisee.. nikifikiria risk ya kupata toto linalopumuliwa kisogoni na mwanaume mwenzake napata kichefu chefu kabisa!!:nono::nono:

Kama ni hivyo ni bora nisiwe na mtoto kabisa....
 
Mungu nisaidie mtoto wangu wa kike asiniangushe!
Asante, najua labda ni ujana, lakini una dada, shangazi, bibi, mama, and the like.Sidhani kama wana tabia hiyo, ni mtu na mtu na hali ya leo, lakini sio vema kuomba usizae mtoto wa kike. Wanafaida sana kuliko watoto wa kuime!
 
Asante, najua labda ni ujana, lakini una dada, shangazi, bibi, mama, and the like.Sidhani kama wana tabia hiyo, ni mtu na mtu na hali ya leo, lakini sio vema kuomba usizae mtoto wa kike. Wanafaida sana kuliko watoto wa kuime!

ni kweli, ila changamoto za kuwalea sasa daah!!
 
Hivi ulikaa ukatafakari kabla hujaandika haya?
Na hao watoto wa kiume mtazaa na wanaume wenzenu?
Na wewe unaesema mtoto wa kike ni laana hata sijisumbui kukuuliza kitu.

Mwili umenisisimka kusoma yale maneno yake! Kawaita watoto wa kike .....! RIP my mama!
 
Alieongoza matokeo ya kidato cha nne n mtoto Wa kike, ni malez tu ukimlea hovyo hutoi kitu, big up girls
 
Kuna matukio mabinti wa siku hizi wanafanya mpaka nakosa hamu ya kuja kuwa na mtoto wa kike maana yanatia aibu na kichefuchefu, fikiria mzazi unakutana na picha ya binti yako akiwa uchi wa mnyama kwenye mitandao hivi utajisikiaje,

Mzazi unatumia pesa nyingi kukupeleka binti kako shule mwisho wa siku anarudi akiwa na mimba mtaa mzima unakucheka, nawapenda sana watoto wa kike ila kuna visa nikiviona nachukia kuzaa mtoto wa kike maana wanaibisha sana.

Hizo mimba wanapewa na watoto wa kike? By the way bábu yako mzaa mama angekuwa na wishes kama zako na zikawa ungepata fursa ya ku post pumba?
 
Hahahaaaaa...umeniacha hoi kwa hayo majibu yako. Ila umempa ukweli, yaani Molembe kuliko aone uchi wa binti yake bora mvulana wake afanywe mwanamke... mimi hii kitu inaniogopesha sana aiseee.
Vijana wanakuwa mashoga kwa sababu ya laana za Mungu kwa wazazi wajingawajinga kama hawa.
 
Back
Top Bottom