Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.
Koma wewe laana mnayo wenyewe. kuna tofauti gani kati ya bint anayejianika mtandaoni na mwanaume shoga?????
acheni maneno ya fedhea nyie watoto.
Apologise lady kati ya watu niliwaquote kutokana na komenti hiyo ni wewe,
kwa nini nimesema hivyo, ni story ndefu acha nitakupm nikuelezee najua utanielewa na utanipa ushauri mzuri.
Ukizaa mtoto wa kike katika nyakati hizi unatakiwa vitu vyenye ncha kali na vitu vizito uviweke mbali na wewe maana unaweza ukaishia jela muda wowote....au kupooza upande mmoja au kufa kwa presha....huku sukari ikiwa juu mida wote....
Hivi ulikaa ukatafakari kabla hujaandika haya?
Na hao watoto wa kiume mtazaa na wanaume wenzenu?
Na wewe unaesema mtoto wa kike ni laana hata sijisumbui kukuuliza kitu.
Tofauti ipo mpenzi
Ni afadhali sana tu binti ambae picha zimeanikwa mtandaoni kuliko wa kiume alieharibiwa kuwa shoga.
Naandika haya huku natetemeka maana wanawake ndio tunaobeba watoto tumboni.
Mungu aepushe.
Ukizaa mtoto wa kike katika nyakati hizi unatakiwa vitu vyenye ncha kali na vitu vizito uviweke mbali na wewe maana unaweza ukaishia jela muda wowote....au kupooza upande mmoja au kufa kwa presha....huku sukari ikiwa juu mida wote....
My nakuelewa vizuri, unajua sikutegemea kama mtu mwenye utashi anaweza kuandika hivi. Hivi hawa wanaume wana kitu gani kikubwa chakufanya wajione wao ni kila kitu, hakuna mtu asiekosa, wanaume wenyewe siku hizi wengi wamepoteza dira, hawajielewi wamebaki kuwa mashoga leo wanawalaani vizazi vyetu khaa!!!!! ni wanawake wangapi wanafanya mambo ya maana hadi dunia inatikisika ili hali wanaume wapo ila wameamua kuvaa sketi zetu, pfyuuuuuuuuu!!!!!! Kwa kweli wajifunze kuongea kwa staha sio kukurupuka.
Wanaume ni wachache sana siku hizi,wajinga wengi wanafikiri kuning'iniza pumbu ndio uanaume
uko kama mimi, naomba mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama mtoto wa kike.
Nakusikitia kwa sababu,bado una akili za kivulana bado.Fahamu kuwa mtoto yeyote ni malezi yenye maadili na kumwomba mungu awe na hofu ya mungu.Sijui utapozaa wa kiume halafu yote mashoga/bwabwa utaficha sura au utarudi kufuta haya maneno yako.
Na ukizaa mtoto wakiume shoga, teja, kibaka unatakiwa hivo vifaa uviweke karibu si ndio????????????????/
Uko kama mimi, naomba Mungu anibariki nisipate mtoto wa laana kama Mtoto wa kike.