Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

message sent and delivered kwa yule alokuja huku kumuomba msamaha kuwa hataki na hana mpango wa kuolewa naye so asipoteze muda wake atafute fursa nyingine huh huh!!
 
we mubayaaa!!" unamtoa povu bidada wa watu. sheria za jf zizingatiwe kabla sijawareport. lol

Ha ha ndo zake huyo analianzisha ukimbana anakuja kama mbogo.
 
kama haya ulioandika hapa yanatoka moyoni mwako na unamaanisha basi wewe unajitambuwa na ni mke bora kabisa hapa duniani. nimependa brain yako kudos.


Umeiona fursa hiyo dogo?

Ikamate basi twen zetu...lol!!

Babu DC!!
 
Husninyo nahic ntapewa ban ngoja nilale..hv kusoma nje ya nchi dili eehh husninyo?? Ila nna mashaka kuna shouga angu alisoma huko nje masters saiv ni secretary apa bongo..nalala jamaniiii
 
Husninyo nahic ntapewa ban ngoja nilale..hv kusoma nje ya nchi dili eehh husninyo?? Ila nna mashaka kuna shouga angu alisoma huko nje masters saiv ni secretary apa bongo..nalala jamaniiii

Nisaidie.
 
Husninyo nahic ntapewa ban ngoja nilale..hv kusoma nje ya nchi dili eehh husninyo?? Ila nna mashaka kuna shouga angu alisoma huko nje masters saiv ni secretary apa bongo..nalala jamaniiii

kusoma nje deal shogangu ila inategemea umesoma kwa msaada wa loan board au kwa pesa yako mwenyewe!!!
sina uhakika kama kusoma india napo deal.... lol! nahisi wahindi walikuwa hawapumui huko.
 
amu naomba tulale kesho ntaskia uchungu sana kuona mmoja wetu au wote tuna ban..ila una maneno amu umenishindaaa..
Shouga kipenzi Rapunzel pumzika sasa umechoka
 
Kongosho uuwwiii uuwwii tuache unatuua mbavu..yani km namuona shoga kidawa ndo anasema maneno hayo..lol
 
kusoma nje deal shogangu ila inategemea umesoma kwa msaada wa loan board au kwa pesa yako mwenyewe!!!
sina uhakika kama kusoma india napo deal.... lol! nahisi wahindi walikuwa hawapumui huko.

Ha ha ha ha ada yenyewe mwaname alisema kamchangia humu ndani.
Ha ha shosti mi India naenda kula Jerebi tu darasani kwangu failers wote walienda India na Malaysia.
Wengine mie nliwasaidia kutengeneza cheti za form 6 wakasome wakapoteze mda huo.
 
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...

Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???

Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

Nadhani haya umeyaandika kwa jaziba tu, kuna binadamu ambaye hataki kuolewa? Tena umri upo 30s Wazungu wenyewe wanataka sana kuolewa sema waoaji hawapo. Nakushauri ujipange uoe kama hutaki kuolewa! Maana kaheshima kanaonekana hapo hata wewe hapo haulali usingizi mzuri maana ukifika ofisini inakuta wenzio wanaongelea mambo ya familia sasa wewe utaongelea nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom