Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

kweli kabisa kuoa au kuolewa ni kipendeleo cha mtu lakini wabongo tunavyoshadadia utafikiri tutaishi na huyo mtu kwenye hiyo ndoa,tunachofikiria ni kupata ujiko mtaani bila kujali ugumu wa ndoa yenyewe...........muwawache wapumuwe

Kingine ndoa sio fashion na familia zetu za kibongo wanapenda kupush sana maswala ya ndoa na wakati mimi ndio muolewaji mwisho wa siku ndoa ikivunjika hao hao wanaanza kukujadili pembeni
Waniache nipumue kha! Wameniudhi
 
Good or bad ts ya thinking capacity and ur courageous. .congrats my lady. .we girls needs uelewa wa hal ya juu about ourselves. .

hah hah shostito si twaolewa lin??? nipe mrejesho wa mume wetu mwenye wivu bas... u hali gan mamiii?????
 
Lisemwalo lipo!

Sioni kama kuna tatizo kuulizwa eti unaolewa lini, kumbuka na wewe ungeweza kuwatumia kiusahihi kwa huo muda waliokuuliza hilo swali...

Ina maana huna malengo yoyote/huna mchumba mpaka dakika hii?

Inaonyesha anaitumia k yake kwa starehe tuu, ili aweze kwenda huku na kule bl kuulizwa.
 
kabisa mamii

unajua wazazi wanachangia sana ndoa kuvunjika kwa mfano utaambia olewa sawa mpeleke mchumba ambae hajiwezi kiuchumi yaani unaweza ukajutaa na familia haikupi attention binafsi nawapenda sana wazazi wangu ila nikishasema nataka kuolewa sasa cha kwanza nikuongalia AMANI YA MOYO WANGU
sio unaolewa na mtu lakini hutaki hata ifike usiku yaani the same day

NDOA ZA SIKU HIZI SHOW SANA
mpenzi wangu aliniambia natka nikuchukue tuishi pamoja nikamwambia mama hatanielewa mimi ndo mtoto wa kike pekee akanyamaza akaniaangalia
ila nilikuja badae kujiuliza hivi Am i doing this for my mamas sake of for my hapyness mpaka kifo kinitenganishe nae??

kiukweli i want him badddd yaani hata kuishi nae tutafunga ndoa huko baadae
lara 1 bado ile story
 
Last edited by a moderator:
Good or bad ts ya thinking capacity and ur courageous. .congrats my lady. .we girls needs uelewa wa hal ya juu about ourselves. .

hah hah shostito si twaolewa lin??? nipe mrejesho wa mume wetu mwenye wivu kupitiliza...
 
I don’t understand why should I get married and make one girl very happy, if I can stay a bachelor and make hundreds of them happy.!!
 
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!

Pole my wii kwa kukushtua
Ahadi na kaka yako iko pale pale kuna vitu tuna sort out kwanza.
 
hah hah shostito si twaolewa lin??? nipe mrejesho wa mume wetu mwenye wivu bas... u hali gan mamiii?????

Ha ha ha ha ha mahondaw shost angu..sna tena hata kumbukumbu nae.nlye nae sasa anantosha.nktaka kuolewa takualka..ha ha ha ha.. Lol
Mzma lakn ww, hauonekan bidada angu.
 
Last edited by a moderator:
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!

Hivi ni yuleyule o kuna kaka mwingine mupya??? mi mwenyewe nikajua picha limeanza nikavuta cookie jar na glass ya maziwa karibu kumbe wapi!!!
 
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!

Dah nkasema mamaaa inaman a undugu ndo unatutoka hivihivi? Khhhaaa we Rapunzeli
Siku engine uachege kutushtua hapa presha ishapanda!!!
 
Last edited by a moderator:
I don't understand why should I get married and make one girl very happy, if I can stay a bachelor and make hundreds of them happy.!!

hahahahahahahahahah!!! braza we mbayaaaaaahh,, yaan we ni mbayaaaaaaaa!!
 
Lisemwalo lipo!

Sioni kama kuna tatizo kuulizwa eti unaolewa lini, kumbuka na wewe ungeweza kuwatumia kiusahihi kwa huo muda waliokuuliza hilo swali...

Ina maana huna malengo yoyote/huna mchumba mpaka dakika hii?

Tatizo sio kuulizwa tu...tatizo ni ile kunipush olewa basi uondoe nuksi.....ona mtoto wa fulani kaolewa ww bado upo tu!?....olewa basi na ww kazi kutoa michango kwa wenzio tu?

Hilo ndilo silipendi
 
Uani kibongobongo wanaenda kwa fasion sasa yanayowakuta huko mungu ndo anajua hivi vick kamata ana umri gani vile mana alitaka kujipaisha hapa juzi matokeo yake aibu tupu kaishia kutoa single ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom