Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

Mhh tuache kufakee...kuchelewa Kuolewa ni stress sanaa yaani..aisee kama unakua na mchumba ni vizuri kuolewa kabla umri hujakutupa mkono...! Mwishoe ndo utaanza kusema sizitaki mbichi hizii!
 
ya kwanza ulikosea !
kama ambavyo mimi na bossman tulikosea!
hii uliyoitaftia kiambatishi sicho ulichoandika mwanzo.
rudia ulipomquote the boss.
kama bado hujaedit .lol

Imekuja na meli hii lol
 
Husninyo meona eeehhhh kuna wanaume watamu kama chakula jamani..yani ukikaa nae moyoni unapractice siku akikwambia wil u marry mi utavyo data..ila ndio mabandiduuuu wakijua umefika
 
Lara 1 mi nakereka na wadada wengi wa mjini anakwambia oohh my guy wants to marry mi BUT AM NOT READY mmffyyuuuzz not ready waaapiii wakati unatafuta opportunity ya kuambiwa will u marr mi na hazipo..I hv ths girls wana vibwana vyao havieleweki sasa ili kujikosha ndo anajitangazia am not ready mburaaaa

wallah mekupenda bureeee drama queen.
 
Husninyo meona eeehhhh kuna wanaume watamu kama chakula jamani..yani ukikaa nae moyoni unapractice siku akikwambia wil u marry mi utavyo data..ila ndio mabandiduuuu wakijua umefika

kabisaaaa! yaani kutaman au kutotaman kuolewa chanzo ni mwanaume! unakuwa na mwanaume ile milove na micare mpaka mwenyewe unadata unataman uitwe mrs flani fasta.
ila ndo vile tena, sometimes mtu anadate mume wa mtu. unafkr huyo hamu ya kuolewa ataitoa wapi!!! wanaume hebu tuoeni bana acheni ujeuri.
 
Hutaki Kuolewa Tu Cos Ndoa Haina Maana?,Hujapata Mr RIGHT ? Watoto Unataka,Kivipi? Rapunzel Jibu Maswali Haya Nakuja
 
Last edited by a moderator:
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...

Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???

Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

hta mmi wananiulza naoalin wadgozangu wte wameoa , naona sie tnaendana
 
’m in love with you, and I’m not in the business of denying myself the simple pleasure of saying true things. I’m in love with you, and I know that love is just a shout into the void, and that oblivion is inevitable, and that we’re all doomed and that there will come a day when all our labor has been returned to dust, and I know the sun will swallow the only earth we’ll ever have.....Nakupenda sana my msweet
 
Mhh tuache kufakee...kuchelewa Kuolewa ni stress sanaa yaani..aisee kama unakua na mchumba ni vizuri kuolewa kabla umri hujakutupa mkono...! Mwishoe ndo utaanza kusema sizitaki mbichi hizii!

She is not fake ila ana msimamo wa kike
 
’m in love with you, and I’m not in the business of denying myself the simple pleasure of saying true things. I’m in love with you, and I know that love is just a shout into the void, and that oblivion is inevitable, and that we’re all doomed and that there will come a day when all our labor has been returned to dust, and I know the sun will swallow the only earth we’ll ever have.....Nakupenda sana my msweet

mmmmh.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom