Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Si hukuniita nimeonaa ulivyotoaa michombwezoooo we mbayaaaaaaaaa
bado kidoncho nikupigie ila simu ilikuwa haina vocha. nway, leo usiku tunataraji vurumai lingne. kaa mkao wa kula.
Si hukuniita nimeonaa ulivyotoaa michombwezoooo we mbayaaaaaaaaa
Utaacha kupelekwa mambelee na zawad utanyimwaa ooo mwenzio yupo india sijuii
muhindi wa bombay sahv anakazia swaumu kwa kachori.
bado kidoncho nikupigie ila simu ilikuwa haina vocha. nway, leo usiku tunataraji vurumai lingne. kaa mkao wa kula.
muhindi wa bombay sahv anakazia swaumu kwa kachori.
Hehehehe.....sister umenichekesha kwelikweli
shida kabisa kama anasoma apa ajue tu km amekosea huwez kuntaja kwa jina langu kwani mi verified user?
hahahaha!!! hili nalo neno. kuna wanaume ni wasweet jamani. unatamani kuwa nae mda wote, ukitangaziwa ndoa misimamo yako yote unaweka kando.
Ndo hivo ukipambana na vipoozeo vya modes ndo matokeo yake!ila yule dada amu hana kosa jamank afu hata hakutaka ugomvi ghafla akatajwa kwa jina halisi mi hoi sikulala jana mpaka mtanange umeisha...
Baby UKOME KUSHOBOKEA WATU! Unaona umevuliwa nguooooo? Mi nilikuwa na kucheki tu mchepuko wako! Haya sasa KIKO WAPIIIIIIII?kama haya ulioandika hapa yanatoka moyoni mwako na unamaanisha basi wewe unajitambuwa na ni mke bora kabisa hapa duniani. nimependa brain yako kudos.
Ndo hivo ukipambana na vipoozeo vya modes ndo matokeo yake!
Baby UKOME KUSHOBOKEA WATU! Unaona umevuliwa nguooooo? Mi nilikuwa na kucheki tu mchepuko wako! Haya sasa KIKO WAPIIIIIIII?
Umeshusha MISIFA KIBAOOO kumbe kanjanja! WALE WOTE MLIOSHOBOKA KUMSIFIA MMEINGIA MITINI! Hahahaaaaaa!
Uwe unanisifia tu mi mkeo!
Kazi IpoDrama queen said:Hhee hheeiyaa kumbe sijapigwa ban.husninyo tumeponaa..ila amu kaniumaaaa