Ndo side effects za LTHP na Get together hizo.Watu wakishajuana nje ya keyboard ni matatizo
ukiandamana tuandamane wote.....
Hehehehe.....sister umenichekesha kwelikwelihilo swali la utaolewa lini nakumbuka dada yetu mmoja aliulizwa jibu alilotoa nipe mmeo anioe
jana palikua na mtanange but thnx to kongosho kidogo aliwatuliza washiriki!
Na yeye kapigwa ban au kakimbia kambi??
weeeh!!..ulingo ulikua mdogo asee...
kala ban kwanza ye ndo alianza kumdoboa mwenziwe
Watu tulikuwa tumelala, ila JF ni noma sana
Duuuuh ni shidaaaaaaaaah
yule mdada alipanick na akaanza kumtaja mwenzie jina na maneno mabaya ndo amu akachukia wakapeana kubwa ila amu kaonewa kwa kweli