Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
amu ndo alitajwa kwa jina halisi na zikataka zitumwe picha zake jukwaani
Ndo side effects za LTHP na Get together hizo.Watu wakishajuana nje ya keyboard ni matatizo
amu ndo alitajwa kwa jina halisi na zikataka zitumwe picha zake jukwaani
khe ........
Duh kumbe kuna habari zimefutwa hapa eeeeh, jamani mwenye nazo azirudishe basi.
Kumbe ilikuwa hot sana hiyo jana
ndo hvyo na akamnanga sana dada wa watu akajibu mapigo ila wala amu hakuanza ukorofi sema nae alivyoona anachokonolewa sana akarudisha mapigo ndo kongosho akaomba wayamalize si vzri kugombana akaja lambogin akamwita mpenzi wake pm wayamalize ila amu kiukweli kaonewa labda kosa kutoa post za zamani ndo maana,sijui lakini mana wengine sie hapa wageni hatujui sheria vizuri.
jana palikua na mtanange but thnx to kongosho kidogo aliwatuliza washiriki!
eti "washiriki" mbona we hukuingia kati kuzuia.
khe nilipitwa na mengi. ban zilitembezwa ile ile usiku??
hapa umenifungua now I Know.
Ndo side effects za LTHP na Get together hizo.Watu wakishajuana nje ya keyboard ni matatizo
eti "washiriki" mbona we hukuingia kati kuzuia.
Makubwa......
Nilikuwa nasoma tu mm,nilishindwa kuingilia sababu yalikuwa mambo yanayohusu jinsia ingine! amu afunguliwe haraka na hana hatia,alichofanya ni kukumbusha tu kuwa unasema bado hujaolewa wakati juzi umesema umeolewa na una watoto 2!
Yale yale ya huyu mwingine leo mwanamke kesho mwanamme
Nilikuwa nasoma tu mm,nilishindwa kuingilia sababu yalikuwa mambo yanayohusu jinsia ingine! amu afunguliwe haraka na hana hatia,alichofanya ni kukumbusha tu kuwa unasema bado hujaolewa wakati juzi umesema umeolewa na una watoto 2!
Yale yale ya huyu mwingine leo mwanamke kesho mwanamme
sio kidogo eti ni hekaheka.... mpaka Rapunzel kakimbia kwa jinsi alivonangwa hana hamu... na nahisi anajuuuuutaaaaaaaaaaaa kuwafahamu..
Ndo side effects za LTHP na Get together hizo.Watu wakishajuana nje ya keyboard ni matatizo
eti "washiriki" mbona we hukuingia kati kuzuia.
Ha ha kweli kabisa humu leo mtu anasema mke wa mtu kesho single mom keshokutwa kaokota mwanaume humu wamegegedana weee wakafumaniana another kantrii mtondogoo wanayatimisha watoto wiki ijayo wanapeana 10 m kesho yake inakuja kuwekwa humu.
Jana ya katikati masomoni bollywood na kina Amita...
Aaaa ngoja nilale mie.