sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Na wewe mpaka usachiwe, hela ziwekwe kwenye tendegu, umelala au umekufa? Mwanamke sio mke wako unalalaje nae kwa raha hivyo? Ukinyonywa damu je?.Nyie si matomaso kama kawaida yenu, mtuulize sisi wanaume tunavyo patwa na masaibu.
Unajua wizi mpya wa wanawake siku hizi? Mkilala usiku akikusachi pesa anaficha kwenye tendegu la kitanda analiinua anaficha mwanaume akiamuka akijisachi hola si anakimbilia kumsachi mwanamke nae patupu chooni patupu uvunguni patupu kwenye mto patupu kumbe mshiko upo kwenye tendegu uzuri mm huwa nalala kimachale kama sungura huniibii kirahisi rahisi.