Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Marhaba..... Tulipanga mtoko na na Asprin sasa yuko kimya hadi mida hii, naona napanga mkutane kaunta mkapange mikakati zaidi ya uanaume sasa nadhani no mtoko tena

Navyo mjua huyu Babu golden chance kama hizi huwa hakosei we subiri kaPM kabla hujalog off
 
Ngoja niendelee kusubiri, unajua kutoka na babu ni baraka, hekima na busara zimelala pale

Navyo mjua huyu Babu golden chance kama hizi huwa hakosei we subiri kaPM kabla hujalog off
 
Tunataka tubadili mchakato wa mzima wa mahari. Unaonaje hilo?
Ni suala zuri tu. Kwa sababu za ubabaishaji wa baadhi ya wanaume, mm mawazo yangu makuu ni haya:
- Kiwango kiwe kikubwa, sio kidogo cha kukuruhusu kuoa na kuwacha kama upendavyo wewe.
- Kusiwe na kipengele cha "Mteja ni mfalme. Usiporidhika utarejeshewa pesa zako". Ukishakutoa mahari, kwa sababu yoyote ile, huwezi kudai urejeshewe.
Unaweza kuongeza vipengele vyengine.
 
Khaaa! Uongo mtakatifu huu!

Fide kwa mafiksi aisee....

Nyie si matomaso kama kawaida yenu, mtuulize sisi wanaume tunavyo patwa na masaibu.
Unajua wizi mpya wa wanawake siku hizi? Mkilala usiku akikusachi pesa anaficha kwenye tendegu la kitanda analiinua anaficha mwanaume akiamuka akijisachi hola si anakimbilia kumsachi mwanamke nae patupu chooni patupu uvunguni patupu kwenye mto patupu kumbe mshiko upo kwenye tendegu uzuri mm huwa nalala kimachale kama sungura huniibii kirahisi rahisi.
 
Topic nzuri ila mpaka dakika hii ishachakachuliwa.
 
Ni suala zuri tu. Kwa sababu za ubabaishaji wa baadhi ya wanaume, mm mawazo yangu makuu ni haya:
- Kiwango kiwe kikubwa, sio kidogo cha kukuruhusu kuoa na kuwacha kama upendavyo wewe.
- Kusiwe na kipengele cha "Mteja ni mfalme. Usiporidhika utarejeshewa pesa zako". Ukishakutoa mahari, kwa sababu yoyote ile, huwezi kudai urejeshewe.
Unaweza kuongeza vipengele vyengine.


Once married a wife "shall" not be divorced....(ila anaweza mtaliki tu mume...lol )
 
Nani awahi leo home???? Saa 5 usk ndio tunatia timu, hahahhahahaaaaa angalieni msishindwe kuwajibika
 
Ni suala zuri tu. Kwa sababu za ubabaishaji wa baadhi ya wanaume, mm mawazo yangu makuu ni haya:
- Kiwango kiwe kikubwa, sio kidogo cha kukuruhusu kuoa na kuwacha kama upendavyo wewe.
- Kusiwe na kipengele cha "Mteja ni mfalme. Usiporidhika utarejeshewa pesa zako". Ukishakutoa mahari, kwa sababu yoyote ile, huwezi kudai urejeshewe.
Unaweza kuongeza vipengele vyengine.

Hizo points mbili ni za msingi mno. Nitaendelea na

-Mkopo kesho, leo lipa zote kwa mkupuo mmoja.
 
BHT hujambo
Mambo yako
Naona hubanduki kwenye huu uzi

sijambo bwan'kaka (ka avatar kanaonyesha we ni bwana mdogo wangu lakini)

haya sasa nabanduka officially bana!!! naona nachakachua tu sasa, wenyewe hawapendi
 
aisee si unajua net za kuvizia hizi na simu za tochi...tabu tubu, nataka nijenge mnara wangu hapo nje



heheheee sukari guru hiyo mamakee (waliiga zile goody goody za kenya...lol)
sidhani aisee kama zipo tumuulize Preta halafu hizo ziwe mandatory (huko kwetu) kwenye sehemu ya mahari ...lol!

goody goody! Ha ha ha umekmbsha mbali sana, wapi ntazpa hz. Loh
 
  • Thanks
Reactions: bht
Women will never be as successful
as men because they do not have
wives to advise them.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom