naongeza na mimi hapa....
6.MWANAUME kuheshimiwa na kukubaliwa na wanaume wenzako ni muhimu kama ilivyo umuhimu
wa 'dhamana' unapoenda benki kukopa,kwani mambo yakiku chachia watakaokusaidia mostly ni wanaume wenzio
so sifa kwa kina mama tafuta lakini 'heshima' kwa wanaume wenzio usivunje...
7.Jua 'limitations zako ' kwa kila unachokifanya iwe 'kukimbiza wanawake' kunywa pombe na kadhalika
hakuna mjanja wa kila kitu,jua mwisho wa ujanja wako,ujiepushe na 'mitego' ya wajanja zaidi yako..
8. Unaposifiwa sana 'stuka' baadhi ya sifa ni 'mitego lol
9.Usimuamini mwanamke kwa asilimia 100 hata mama yako mzazi....lakini wapende na kuwaheshimu wanawake na haki zao uwape..
10. tofautisha mambo ya 'msingi' na ya 'ziada' katika maisha yako....l.
ya msingi kwanza,ya ziada ndo yanafuata....
The Boss ndo maana uliamua kukaa kimya ili uje na huu uzi
Pongezi zako mkuu