"Sisi hadi tutoke ndio tule"- Kauli ya malofa

"Sisi hadi tutoke ndio tule"- Kauli ya malofa

Nani ambae anakaa ndani na anakula? Wote lazima tutole ndio tupate rizki zetu, hata wewe unayedhani unaweza kukaa ndani na ukala, bado kuna siku lazima utoke ndio mkate upatikane, usipotoka familia haili.

So yeah, lazima tutoke ndio tule.
Matajiri wa jf hawa sio wa kuwatilia maanani. Hali zetu mtaani tunajuana. Fake id zinatusitiri sana. Kuna mmoja nimeona kuke jukwaa la mahusiano anasema kaonga laki 5 kwa show ya nusu saa.

Navuta picha bongo upige mishe gani bila kutoka nje na mambo yaende kwenye mstari . Kama kazi za kutegemea internet sehemu nyingi kuna changamoto ya mtandao. Kama biashara ya kuajiri watu uaminifu ni changamoto. Lazima ufike ofisini ukasimamie mwenyewe. Hauwezi kukaa tu home uongoze mambo ya ofisini kwa simu.

Nina hela ya kutumia hata kwa miezi mitatu bila kufanya kazi. Lakini kusema nisitoke ndani ya mwezi tu mishe zangu zote zitakua zishakufa
 
Ukishasikia mtu anasema "sisi hadi tutoke ndio tule" ujue huyo mtu ni zwazwa, mjinga na lofa tu. Hii ni kauli moja ya kijuha na kipumbavu sana.

Nani unamuambia aliyesababisha wewe kuishi hayo maisha ya kilofa ya "hadi utoke ndio ule"?

Nani unataka akuhurumie kwa wewe kuishi hayo maisha ya kilofa ya hadi utoke ndio ule??
🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️🔥
 
Ukishasikia mtu anasema "sisi hadi tutoke ndio tule" ujue huyo mtu ni zwazwa, mjinga na lofa tu. Hii ni kauli moja ya kijuha na kipumbavu sana.

Nani unamuambia aliyesababisha wewe kuishi hayo maisha ya kilofa ya "hadi utoke ndio ule"?

Nani unataka akuhurumie kwa wewe kuishi hayo maisha ya kilofa ya hadi utoke ndio ule??
We ni mwehu bila shaka, wamekuomba msaada? Una stress wewe! We ulitakaje? Kwamba waende kufanya ghasia na vurugu ili wapuuzi mpate ujira wenu? Huo ndiyo ukweli kuna kada nyingi nchi hii riziki zao ziko miguuni mwao, we km uko tofauti mshukuru Mungu siyo kuwatukana
 
That is one of Marx’s most famous and biting analogies!
Marx used this metaphor to explain why peasants historically struggled to act as a unified political force. He argued that because they farmed small, isolated plots of land, they were fiercely self-sufficient and rarely interacted with one another. Therefore, they formed a massive, atomized group of identical individuals who could not form a united "class for themselves".

Sacs of potatoes to explain unconscious mind to liberation..peasants and labourers!
Ht ukitumia kiingereza haibadilishi upumbavu wako
 
Huu uzi unatokana na hasira za huyu mpumbavu baada ya watanzania kukataa upuuzi wao wa kwenda kufanya vurugu na uhalifu! Vijana maskini wa Kitanzania hawatarudia kufanya upuuzi tena km wa tarehe 29! Mnataka muwatumie ili mpate malipo enyi wanaharamu! Mshindwe na mlegee!
 
Kacheze unakochezaga.... Ugumu wako wa maisha usitake kuambukiza wengine chuki za hovyo

Fanya kazi huku ukimwimbia Mungu moyoni
 
Siku zote ninasema mtaji wa CCM ni kundi la wajinga na wenye njaa ndio wanawapenda sana na kuwatumia kwa agenda zao.

Hebu angalia wale waliojiita wakatoliki mpaka wakaenda ubalozi wa Vatican ukangalia hali zao kiuchumi unaona ni duni walikua tayari kutumika kusema uongo na jioni wanarekodiwa wanasema walipewa 20,000 na wao wakaona ni bingo .
 
Kufanikiwa kwako maishani. Kama asilimia 70 serikali yako ndiyo inachangia. Wewe na maarifa na juhudi zako ni kama asilimia 30 tu. Usicheke na kudharau eti malofa na kuona hawana akili.
 
We ni mwehu bila shaka, wamekuomba msaada? Una stress wewe! We ulitakaje? Kwamba waende kufanya ghasia na vurugu ili wapuuzi mpate ujira wenu? Huo ndiyo ukweli kuna kada nyingi nchi hii riziki zao ziko miguuni mwao, we km uko tofauti mshukuru Mungu siyo kuwatukana
Mimi bado naamini wanaochochea hisia za watu kuandamana wapo kwenye mfumo na wanafanya hivyo makusudi ili kujipata pesa kilaini isiyo na Querry kwa Mkaguzi wa hesabu za Serikali.
Vijana wengine nao kama nyumbu wanatumika kuwasaidia watu kula pesa bila kujua.
 
Back
Top Bottom