Wewe pamoja na wote wanaokusapoti na mada yako hii ya kiduwanzi hamna akili nyinyi ni pathetic Scumbabag Dujeumsaeng .
Sasa kama mtu maisha yake lazima atoke kila siku ale unataka asemaje , aolewe ndio ale ?
Kusema hivyo ni kutaka huruma au kusema uhalisia wako ?
Hao wa hali hiyo wanaoenda kuwa hivyo na wanajivunia hali hiyo , wamebweteka hawapambani kujikomboa ? tumia akili mtu kusema hivyo ni Kukubali uhalisia wake na Kukubali uhalisia na ukweli ni hatua Moja muhimu katika kujikomboa . Maarass nyie