Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

Lakini ukisikiliza hajasema ni marufuku, alichosema anawashauri kutokufanya biashara hiyo baada ya saa sita kwa usalama wao
Acha ujinga zombie wewe[emoji83]
Hebu kaendeshe saa7 afu ukutane na POLICCM kama watakutizama tu
 
Mbona mnapenda kuwawekea watu maneno mdomoni?, Na kwa namna wadau wanavyo comment inaonekana hawajajisumbua kupoteza mb zao kumsikiliza Siro!. Kamanda hajapiga marufuku, ameshauri, ndio maana amehusisha Na muda wa kufunga bar, kwa maana baada ya hapo hakuna wateja salama Sana. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Kwahiyo wateja wa ucku ni walevi tu au
 
Mbona mnapenda kuwawekea watu maneno mdomoni?, Na kwa namna wadau wanavyo comment inaonekana hawajajisumbua kupoteza mb zao kumsikiliza Siro!. Kamanda hajapiga marufuku, ameshauri, ndio maana amehusisha Na muda wa kufunga bar, kwa maana baada ya hapo hakuna wateja salama Sana. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Hii mifisiem shida sana
 
Mbona huyo bwana katoa ushauri alafu wewe unasema kapiga marufuku?

Ushauri sio lazima upokelewe.. Ni wewe mwenyewe kuangalia usalama wako, ila mwanausalama ndio kashauri hivyo!
Mbululazz[emoji83] [emoji90] [emoji90] [emoji196]
 
Ametoa ushauri hajapiga marufuku. Tusipende kupotosha taarifa. Tena amesema vijiweni, mabaamedi wengi wana bodaboda wao maalum wanawapigia simu.

Wale wanaokaa vijiweni usiku sana ni easy target kwa wanaopora bodaboda. Huu ushauri ni tahadhari kwa bodaboda wenyewe.
 
971af476806b5a337f9a691bfcaab529.jpg
 
HIZI AMRI!! mpaka 2020 kila kiongozi atakuwa ametoa amri yake. mfano wa jela miaka30 hata mtoto wako akibakwa akaachiwa mimba. TUKIZIORODHESHA AMRI HIZI MBONA NAMBA TUTAZISO
MA
 
Nilivyoelewa ni kwamba Sirro kasema kwa sasa walichogundua kuwa wahanga wakubwa ni waendesha bodaboda ambapo mpaka muda huo alioongea wamekamata watu15 ambao ni wezi wanaowaibia hao bodaboda na pengine kuwaua na wanatumia mwanya wa huko kukaa sana vijiweni mpaka muda m'bovu.

Labda cjui angesema vp kuwasaidia hao bodaboda..
 
kwa hiyo watu watembee kwa mguu! maana hapa Dar saa saba usiku wapo wanaorudi makazini na wale wanaoenda mfano machinjioni kuchukua nyama za supu na kuuza kesho yake, Hamuoni mtakuwa mmewapa wakati mgumu watu kama hawa. We kujibu ndio bila kubalance, hii haitazuia uharifu, sana sana itaongeza rushwa mana sasa polisi watazunguka mitaani kuwabugudhi bodaboda wawape chochote au kuwakamata.
Serikali iwekezekwa polisi kukabiliana na changamoto hii na wala sio kuwazuia bodaboda usiku, wanatusaidia sana sie wa mtaani tusikabwe ovyo. Hapa kipaumbele unachosema hakizingatiwa
Tunaangalia majority sio minority,wanaoathirika na uhalifu unaohusisha bodaboda kutembea night kali ni wengi zaidi kuliko wanaofaidika na hilo nadhani utakuwa umenipata fresh....nadhani pia kamanda angesema mwisho uwe ni saa nne sio saa sita,
Kuhusu polisi kuchukua rushwa kwa bodaboda nikujibu hivi
"Wewe utakuwa una damu ya kihalifu tu ebu jitathmini vizuri mwenyewe nyendo zako,kwanini udhani polisi watawasumbua bodaboda na usione kuwa hadi ufikie huko kusumbuliwa ni kuwa ulikiuka hili agizo la kamanda la kuzurura baada ya saa sita,unategemea nn???
 
Wenzetu huko dunia ya kwanza pamoja na maendeleo yoote.., Wanafanya kazi mchana na usiku.

Hapa TANZANIA Bw.Sirro anakataza watu kufanya kazi kwa sababu za kiusalama.

[HASHTAG]#TANZANIA[/HASHTAG]yaVi-wonder
Nipo segerea saa tatu tu boda boda wawili wamemkata mtu mapanga na kumuibia bado mapema sasa hamuoni madhala yake
 
Ukitaka kuzuia uhalifu kwa njia rahisi...ni kuanzisha ajira za kuweza kuchukua watu wote waliojiajiri katika sector hiyo...pili..usawa wa mambo ya kijamii..kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni...pia Uhuru wa raia....kiuchumi... Hapo uhalifu waweza kupungua...lakin kama hilo halipo...watu wanaweza kufanya hata mchana...kweupe....mungu saidia
 
Hata South Africa, Namibia ,unasindikizwa mpaka home.. Hapa kwetu ni taabu sana
 
Hizi degree zenu sijui mnazitumia wapi mbona matamko ya ajabu ajabu kila kukicha baada ya kuongeza ulinzi kazi zifanyike muda mwingi wewe unasema watu walale tena..
 
Sio kigali tu bali miji mingi tu Ulaya askari akikukuta njiani usiku basi ujue unasindikizwa hadi kwenye apartment yako ukishafungua mlango tu mnaagana
wkt bongo askari akikukuta usiku anakukamata na kukupeleka sero et mzururaji dah!
 
Back
Top Bottom