Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,723
ngoja nitafute cheti chake na yeye
Kigali - WikipediaNasikia Kigali ukiwa unatembea usiku askari anakusindikiza
Wenzetu huko dunia ya kwanza pamoja na maendeleo yoote.., Wanafanya kazi mchana na usiku.
Hapa TANZANIA Bw.Sirro anakataza watu kufanya kazi kwa sababu za kiusalama.
[HASHTAG]#TANZANIA[/HASHTAG]yaVi-wonder
Ungemwambia akahamia hukoKigali - Wikipedia
Ukubwa wa Kigali ni Mara 2 ya Dar es Salaam Tanzania
Sasa unailinganisha vip? Kiusalalma
Kigali ni sawa na wilaya ya kinondoni.Nasikia Kigali ukiwa unatembea usiku askari anakusindikiza
Pia wakazi hawafiki Laki 8Kigali - Wikipedia
Ukubwa wa Kigali ni Mara 2 ya Dar es Salaam Tanzania
Sasa unailinganisha vip? Kiusalalma
Tatizo ni kubishia kila kituKigali ni sawa na wilaya ya kinondoni.
Tanzania kijiografia ni kubwa sana. Kwa iyo changamoto zake ni kubwa sana
Tanzania ukubwa wake ni mjumuiko wa Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na zinabaki kilometers za mraba 66,000
Kwa iyo izi nchi nyingine ni ndogo sana na changamoto zake ni ndogo pia
kwa hiyo watu watembee kwa mguu! maana hapa Dar saa saba usiku wapo wanaorudi makazini na wale wanaoenda mfano machinjioni kuchukua nyama za supu na kuuza kesho yake, Hamuoni mtakuwa mmewapa wakati mgumu watu kama hawa. We kujibu ndio bila kubalance, hii haitazuia uharifu, sana sana itaongeza rushwa mana sasa polisi watazunguka mitaani kuwabugudhi bodaboda wawape chochote au kuwakamata.
Serikali iwekezekwa polisi kukabiliana na changamoto hii na wala sio kuwazuia bodaboda usiku, wanatusaidia sana sie wa mtaani tusikabwe ovyo. Hapa kipaumbele unachosema hakizingatiwa