Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

wkt bongo askari akikukuta usiku anakukamata na kukupeleka sero et mzururaji dah!
Ndipo uone utofauti wa askari wa kulinda raia na mali zao wa bongo na nchi za wenzetu katika kutimiza majukumu yao. May be wasipopeleka watu vituoni wanaonekana hawafanyi kazi which is stupid.
 
Huo usalama anaoutaka asipoupata atapiga marufu watu kutembea usiku
Huyu jamaa kichekesho ameshindwa kulinda vituo vidogo vya polisi ataweza nini,labda kukamata mateja
Jana kwenye mechi ya watani ndo nimegundua kuwa kuna askari wengi dar wa kutosha
 
Tunaangalia majority sio minority,wanaoathirika na uhalifu unaohusisha bodaboda kutembea night kali ni wengi zaidi kuliko wanaofaidika na hilo nadhani utakuwa umenipata fresh....nadhani pia kamanda angesema mwisho uwe ni saa nne sio saa sita,
Kuhusu polisi kuchukua rushwa kwa bodaboda nikujibu hivi
"Wewe utakuwa una damu ya kihalifu tu ebu jitathmini vizuri mwenyewe nyendo zako,kwanini udhani polisi watawasumbua bodaboda na usione kuwa hadi ufikie huko kusumbuliwa ni kuwa ulikiuka hili agizo la kamanda la kuzurura baada ya saa sita,unategemea nn???
kamatembo naomba nikuite kwa kirefu kamanda tembo. SIKUBALIANI NA HOJA YAKO. Hivi hizi degree zenu kamanda mnazitumiaje. Hapa kitengo cha polisi jamii kime-fail. Haya muombe basi apunguze muda iwe mwisho saa nne ili kuwaokoa hao majority wenu. Baada ya hapo ndio utajua mie nina damu nzuri au ya kiharifu. kazi njema.
 
Anachotakiwa ni kuhakikisha uslama wa raia popote walipo masaa 24 ...maana ya kufanya hivo ni kwamba kazi imemshinda
 
Huwezi kukataza watu eti kutembea usiku kuna haja wanajeshi JWTZ washike doria kila kona. Hatuna vita wanakaa tu? Walime na wengine watulinde barabarani na mjini
 
Hapo anaatarisha usalama wa raia km mama ntilie wanaojidamka asubh kufat mahitaji na wauza samaki.... Wasafiri ambao huchelewa kuingia dar kwa sababu mbalimbali... Yaan sasa panya road kazini kivamia
Hii ilinikuta mkuu, niliingia Dar saa sita usiku. Nikachukua bodaboda ikanifikisha ninapoenda,sasa zisingekuwepo sijui ningefikaje huko.
 
MAAMUZI YA KILEVI....HA HA HA HA....SHAME ON YOU,,,,,,,SHAME KABISA,,,,UNAWEZA KUZUIA USAFIR WA PIKPIK USITUMIKE USIKU?MAAMUZI YA HAYA NI YA UKILAZA NAMBA MMOJA DUNIANI,HAKUNA DUNIANI KIONGOZ ALIYEWAHI KUZUIA PKPK USIKU ZISITUMIKE...
SHAME ON YOU
SHAME ON GVRNT
SHAME SHAME
 
Nakumbuka kuna tamko la kuzuia wale watoto wanaojifanya wanaosha vioo vya magari kwenye foleni, nimekuja huko nimewakuta kama kawaida wako kibaruani kuwachafulia watu vioo vyao vya magari, pembeni kuna askari anasubiri gari isiyo na stika yoyote valid akukamate.
 
Jamani hajapiga marufuku. Ametoa ushauri tu.

Mbona watu mnayabeba mambo juu juu?? Yeye hajapiga marufuku..
Ndio mwanzo huo, wewe mgeni nini hapa TZ na utawala wetu. Subiri wale wakuu waongezee hapo. Na hii inawezekana ikapigwa marufuku wadau tusipopiga mayowe. Umesahau Makamba enzi zake za ukuu wa mkoa wa Dar, alivyosikia kuna vibaka wanaiba kwenye madaladala akaja na amri yake ya LEVEL SITI, sijui kama ile amri bado ipo.
 
Hili wako la kamanda ni la kizamani sana. Police inawajibu wa kuimalisha salama wakati wa usiku tena bila kuwabugudhi alia wema. Wait wafanya kazi zao. Nacho hii, jeshi la polisi linapaswa kusapoti shughuli za uchumi zifanyike muda wote. Wakenya kazi ni mass a 24. Alta saa Sita usiku unasubili gali napanda na kwenda Nairobi. Migahawa ya mama ntilie inakesha. Police wako kazini. Pamoja na jeshi kuongezewa vitendea kazi (magali ) Badala ya kuimalisha u salama watu wafanye kazi zao za kiuchumi wao wanatumia wanaimalisha kuzuia shuguli za watu za kiuchumi?!!. Ualifu wa tanzania uwezi linganisha na ualifu ulioko kenya. Nashauli ivi. Badara ya kutumia vitendea kazi mchana tu. Vitumike zaidi kuimalisha ulinzi usiku bila kuwabugudhi aria wema. Gari zisafili muda wote na police izisindikize kwa awamu.sio kulaza magali ya abilia morogoro. Hii itaijenga zaidi serekari na police kijamii. Amli kama hii inayozuia raia na kuleta tabu kwa jamii ndio moja ya mambo yanayopelekea watu kuichukia serekari. NA kuichukia chama cha mapinduzi. Pos inafifisha akili mbinu ya mheshimiwa raisi ya hapa kazi tu. Athali ya Amli hii inagusa maslai mapana ya watu kijamii hasa vijana. Tulitarajia huyu kamanda atangaze kuwa watu fanyeni kazi zenu bila hofu kwani ulinzi umeimarishwa zaidi awamu hii. badara yake inakuja amli ya kuzuia vyombo vya usafili, na inaleta adha kwa jamii. (Binafsi naichukulia amli hii kama ni kushindwa kusimamia jukumu la usalama au kuzidiwa).Police iongeze interigensia. maamuzi yeyote ya kiusalama yanayogusa jamii pana yaangaliwe kwa makini.bora bajeti iongezwe kusimamia u salama wa kazi usiku sio kuzimamisha kazi.
 
Huwezi kukataza watu eti kutembea usiku kuna haja wanajeshi JWTZ washike doria kila kona. Hatuna vita wanakaa tu? Walime na wengine watulinde barabarani na mjini
Yes hiyo ndio itaenda sambamba na ule msemo unaofifia sasa wa "HAPA KAZI TU" Mwananchi hata nikiamua kutoka saa nane niende kazini sina woga najua ulinzi upo. Watu watapiga kazi usiku/mchana na ndio sifa ya nchi inayoelekea ulimwengu wa viwanda. Huku kwetu polisi huwa wanapitaga doria uskiku na tupo shwari tu. Cha msingi nyie mnaojenga huko kusikopimwa zingatieni utaratibu wa kuweka mitaa ya barabara ili wapite kwa urahisi na kuzunguka eneo kubwa bila usumbufu.
 
Acha ujinga zombie wewe[emoji83]
Hebu kaendeshe saa7 afu ukutane na POLICCM kama watakutizama tu
Ooh sikujijua kama mimi zombie.. asante kwa kunijuza. Ila nikujuze na wewe ambacho hujijui akili zako ni zakuvalia chupi tu... hufikirii wala huwazi zero!
 
Nipo segerea saa tatu tu boda boda wawili wamemkata mtu mapanga na kumuibia bado mapema sasa hamuoni madhala yake
Sasa huoni huo ni udhaifu wa jeshi la Polisi?

Sio bodaboda wote ni wahalifu.

Cha msingi Polisi waimarishe ulinzi ili kila mtu afanye kazi yake kwa uhuru.
 
Huko duniani wanafanya kazi Massa 24 hapa bongojinga kazi ni mchana tu!!!
 
Kwahiyo wateja wa ucku ni walevi tu au
Inawezekana maeneo ya mijini Kuna mizunguko saa 24, lakini kwa abiria Si salama kukodi bodaboda yoyote Na bodaboda Si salama kukodiwa Na abiria yoyote!, kwa wenye mizunguko usiku mnene Ni vema kuwa Na namba za wasafirishaji/wasafiri maalumu kwa ajili ya usalama wa pande zote, hapa haihitajiki shahada ya medani kujua jinsi ya kujihami.
 
Back
Top Bottom