Nimeanza kufurahi pale bodaboda wanapopata matatizo

Nimeanza kufurahi pale bodaboda wanapopata matatizo

shenzii

Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
48
Reaction score
155
Sio kwa ubaya lakini hii inayoitwa kazi ya kuendesha boda ni mojawapo ya kazi kama uhalifu tu, asilimia 90 ya hawa wapuuzi ni wezi, wanyanganyi au vibaka baadhi kweli ni wastaarabu ila wengi ni wapuuzi.

Hii ni kazi inayofanywa na watu waliojikatia tamaa wengi ni walevi wavuta bangi and a like. Baba /mama kijana wako akimaliza shule chuo au 4m 4 kuliko aannze kuendesha boda bora aende veta hii kazi ni ya laana kweli.

Naamini huku hamna mtu ambaye hajawahi kupata sekeseke la boda kama sio kuumia au kufiwa na ndugu kwa sababu ya boda bc we ni malaika. Binafsi ningekua na uwezo hii kazi ningeipiga marufuku. Mwanzo nilikua sijali hata wakipiga mizinga kutokana na upuuzi wao lakini sa iv nafurahia kabisa.

NB: Kama unamiliki gari kwa tahadhari miliki na bastola kama Janjaro ili siku wakijichanganya upite na mguu wa mmoja.
 
Sio kwa ubaya lakini hii inayoitwa kazi ya kuendesha boda ni mojawapo ya kazi kama uhalifu tu, asilimia 90 ya hawa wapuuzi ni wezi, wanyanganyi au vibaka baadhi kweli ni wastaarabu ila wengi ni wapuuzi.

Hii ni kazi inayofanywa na watu waliojikatia tamaa wengi ni walevi wavuta bangi and a like. Baba /mama kijana wako akimaliza shule chuo au 4m 4 kuliko aannze kuendesha boda bora aende veta hii kazi ni ya laana kweli.

Naamini huku hamna mtu ambaye hajawahi kupata sekeseke la boda kama sio kuumia au kufiwa na ndugu kwa sababu ya boda bc we ni malaika. Binafsi ningekua na uwezo hii kazi ningeipiga marufuku. Mwanzo nilikua sijali hata wakipiga mizinga kutokana na upuuzi wao lakini sa iv nafurahia kabisa.

NB: Kama unamiliki gari kwa tahadhari miliki na bastola kama Janjaro ili siku wakijichanganya upite na mguu wa mmoja.
Shenzi kabsa wewe
 
Toka hapo kwa shemeji yako kapambane , mwanaume alie kamilika hawezi anandika utumbo ulio ropoka hapa
Unawajua vishandu?Ulishawahi kukabwa au kubananishwa na kuporwa kila kitu hadi mate yako mdomoni mkuu na watu sampuli hiyo?
 
Kwa hiyo kisa kuna vishandu kati ya boda boda ndio tufurahie bada boda wa kipata matatizo?
-Siyo kila nyama ya mbuzi ninayoogopa kuila ndiyo ile iliyonipa matokeo hasi/allergy mwaka juzi.
-Ukiona u-nyasi kumbuka nyoka aliyekubusu.
-Kujibanza mvua ya leo siikomeshi mvua iliyoninyea hapo juzi-kati.
 
-Siyo kila nyama ya mbuzi ninayoogopa kuila ndiyo ile iliyonipa matokeo hasi/allergy mwaka juzi.
-Ukiona u-nyasi kumbuka nyoka aliyekubusu.
-Kujibanza mvua ya leo siikomeshi mvua iliyoninyea hapo juzi-kati.
Kuna mainjinia wauaji kuna madaktari wauaji manesi na hata walimu , kwa hiyo tuanze kuwachukia fani zao zote ? Hoja dhaifu sana
 
Kuna mainjinia wauaji kuna madaktari wauaji manesi na hata walimu , kwa hiyo tuanze kuwachukia fani zao zote ? Hoja dhaifu sana
Umeenda kwenye zawadi alizochukua aliyefika kwenye ukingo wa sakafu wakati wenzako tulikuwa tunamchokoza aeleze walimtenda nini ili tupate kidhibiti cha kupeleka kwa mkuu wa sungusungu kijijini kwetu.
 
Umeenda kwenye zawadi alizochukua aliyefika kwenye ukingo wa sakafu wakati wenzako tulikuwa tunamchokoza aeleze walimtenda nini ili tupate kidhibiti cha kupeleka kwa mkuu wa sungusungu kijijini kwetu.
Nyerere , ni baba yake chiku , maandazi ni uji wa mgonjwa , tulipambanie taifa hakuna jamiiforum ni mtandao nyama ya kuku , tuige mifano bora
 
Shairi zuri kama lile la ..."eat more wate, drink some bread"...!
Kula maji, kunywa mkate

Kula maji, kunywa mkate,

Tembea usingizi ukiwa macho mate.

Cheka kimya, lia kwa sauti,

Piga kelele ndani ya buti.

Vaa kivuli, vua mwanga,

Panda chini, shuka juu anga.

Funga mlango wazi kabisa,

Kaa mbali ukiwa karibu sana.

Andika gizani kwa kalamu ya nuru,

Soma kimya kwa sauti ya dhahiri.

Ukweli uongo, uongo ukweli,

Hapo ndipo akili hucheza kweli.
 
Kula maji, kunywa mkate

Kula maji, kunywa mkate,

Tembea usingizi ukiwa macho mate.

Cheka kimya, lia kwa sauti,

Piga kelele ndani ya buti.

Vaa kivuli, vua mwanga,

Panda chini, shuka juu anga.

Funga mlango wazi kabisa,

Kaa mbali ukiwa karibu sana.

Andika gizani kwa kalamu ya nuru,

Soma kimya kwa sauti ya dhahiri.

Ukweli uongo, uongo ukweli,

Hapo ndipo akili hucheza kweli.
Wakichelewa kutoa zawadi ni bora kujinunulia mwenyewe kama bumunda la birthday.
 
Back
Top Bottom