nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 940
Pole kwa kuwa Na akili inayodhani yeyote anayekubaliana Na agizo/ushauri wa serikali Ni CCM. Watu Kama wewe ndio mnatuponza wote tunaounga mkono upinzani tuitwe nyumbuHii mifisiem shida sana
Pole kwa kuwa Na akili inayodhani yeyote anayekubaliana Na agizo/ushauri wa serikali Ni CCM. Watu Kama wewe ndio mnatuponza wote tunaounga mkono upinzani tuitwe nyumbuHii mifisiem shida sana
Haiwezi kuwa mpizani ukawa zombie wa LumumbaPole kwa kuwa Na akili inayodhani yeyote anayekubaliana Na agizo/ushauri wa serikali Ni CCM. Watu Kama wewe ndio mnatuponza wote tunaounga mkono upinzani tuitwe nyumbu
Umesema point snkwa hiyo watu watembee kwa mguu! maana hapa Dar saa saba usiku wapo wanaorudi makazini na wale wanaoenda mfano machinjioni kuchukua nyama za supu na kuuza kesho yake, Hamuoni mtakuwa mmewapa wakati mgumu watu kama hawa. We kujibu ndio bila kubalance, hii haitazuia uharifu, sana sana itaongeza rushwa mana sasa polisi watazunguka mitaani kuwabugudhi bodaboda wawape chochote au kuwakamata.
Serikali iwekezekwa polisi kukabiliana na changamoto hii na wala sio kuwazuia bodaboda usiku, wanatusaidia sana sie wa mtaani tusikabwe ovyo. Hapa kipaumbele unachosema hakizingatiwa
Braza msamehe... ndio ameamka sahizkwa hiyo watu watembee kwa mguu! maana hapa Dar saa saba usiku wapo wanaorudi makazini na wale wanaoenda mfano machinjioni kuchukua nyama za supu na kuuza kesho yake, Hamuoni mtakuwa mmewapa wakati mgumu watu kama hawa. We kujibu ndio bila kubalance, hii haitazuia uharifu, sana sana itaongeza rushwa mana sasa polisi watazunguka mitaani kuwabugudhi bodaboda wawape chochote au kuwakamata.
Serikali iwekezekwa polisi kukabiliana na changamoto hii na wala sio kuwazuia bodaboda usiku, wanatusaidia sana sie wa mtaani tusikabwe ovyo. Hapa kipaumbele unachosema hakizingatiwa
Sina hakika Kama kosa Ni la mwalimu wako wa civics au mzazi aliyekurithisha hiyo akili mbovu!.
Tunapojadili ya Daudi bashite, tusisahau ya kwetu sisi akina paul christian .
Viongoz wetu kila kukicha wanatoa matamko ambayo utekelezaji wake utakua mgumu na wenye kutoa mwanya kwa police kuanza kusumbua wananchi!! Kamanda amepiga marufuku kwa waendesha bodaboda kutoendesha bodaboda zaid ya saa sita!! Sasa najiuliza hivi haya maamuzi yalifikiwa na kamati ya ulinzi au mkuu wetu alilala na kuamka na ndoto hizi?? Sababu ya msingi kupiga marufuku hiyo ni kuzuia uharifu. Et boda boda wanakabwa na kukaba!! Najiuliza lini uhalifu haukuwepo tanzania?
Bodaboda wanafaida kubwa sana kwa sisi wananchi wa kawaida. Kwa sasa sikumbuki lini nilipanda tex. Hii inatoka na ukata na pia kupanda kwa bei za tex. Kingine ni tex kutokuwepo maeneo mengi ya jiji. Tukumbuke ujio wa pikipiki na bajaji biashara ya tex imedorola!! Je kwa marufuku hii usafiri wa tex utaimarika? Je tulio wengi tunaweza kumudu nauli za tex kwa maisha haya??
Faida nyingine ya boda boda wamekua walinzi wa maeneo wanaoyoshinda. Huwez kukuta karibu na kijiwe cha boda boda pakatokea na ujambaz au uporaji. Na wakimwona mwizi hujitolea kumkimbiza. Na hata wez hupata shida sana njia za kupita maana hao bodaboda wamekua ni kitisho kwao kutokana na kuwepo kona nyingi za mji. Hilo tu ni ulinz tosha.
Niisshie kwa kusema hii amri ya kufukuza bodaboda usiku haitafakiwa maana ina msaada mkubwa kwa raia waliowengi kuanzia abiria mpaka waendeshaji.
AMESHAURI, AJAPIGA MARUFUKU KWA VIDEO NILIIYOIONA, LABDA KAMA IPO INGINE!!!!
Je unaunga mkono bodaboda iwe mwisho saa sita et kisa wanaongeza uharifu??