Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,981
- 2,359
Sibishani na mtu asiyejua maana ya heading. Heading ndiyo inamaliza yale yoote yanayofuata baada yake. Na heading ya hii thread imeshasema kwamba huo ni uwongo. Wewe unataka kulazimisha nini sasa.
Safi sana mkuu!